Tutajie JF members wa nne ambao kila mchango wao lazima wale like [emoji106] yako

1.Paschal Mayala
2.Malcom Lumumba
3.Paul Alex
.Somebdoy Eden kimario
5.Allen kilewela
6Erythrocyte
Aiseee, ahsante sana mkuu. Kupata like ya mtu kama wewe kwa kila bandiko ni heshima ya kipekee sana kwangu.
 
Kuna wale jamaa wa intelligence aisee mmoja ni doctor kama sikosei nimemsahau jina, kuna mzee wicky, Dogo Da vinci, Mwekundu mwenzangu Gwazwat ebanae salute wazee.
 
Zero IQ
Castr
Mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji108]

Jr[emoji769]
 
Asanteni sana... On bended knees... napokea kwa moyo mnyoofu na unyenyekevu mkuu... Bila nyie mimi si kitu.... Ni team work.... Na tu wamoja katika wingi wetu... Am humbled....!!!!

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…