Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Duuuh aiseee anaitwa nani huyo MbungeKuna Mbunge wa Tabaora vijijini anaishi Sinza.Aisee anaharibu vijana hapa mjini.Anawachukua anakupa milion5 umfukue mtaro then ukimaliza anatoa bastola na yeye anakufukua.Wasanii na Wacheza mpira ndo wahanga.Mfano Kuna mchezaji mmoja wa Yanga kinara huyo nishamuona kabisa na watu hawamdhanii.
Katibu mkuu kiongozi mstaafu....
Abood ndio kabisa naona ni msikilizaji tuu ila wana morogoro huwaambii kitu juu ya huyo jamaaTarimba na Abood
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu aingie bungeni yeye kila akisimama hoja yake ni moja tu,
"Kuweka lami barabara ya Bigwa-Kisaki"
Huyu ndo cjawahi kumsikia hata kumuona Bungeni kwenyewe.Huyo nywele nyeupe Fred Lowassa naye domo zito sijui Wamasai wenzie huko monduli hawana changamoto za maendeleo
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatoa siri za kambi, mbna hata yule mgeni mwenyeji wa Tabora, kazi yake kufata vitoto vya shule hasa wa kiume, na anapenda kwenda kutafuta shule za special school.Kuna Mbunge wa Tabaora vijijini anaishi Sinza.Aisee anaharibu vijana hapa mjini.Anawachukua anakupa milion5 umfukue mtaro then ukimaliza anatoa bastola na yeye anakufukua.Wasanii na Wacheza mpira ndo wahanga.Mfano Kuna mchezaji mmoja wa Yanga kinara huyo nishamuona kabisa na watu hawamdhanii.
Dr Babu taleHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenikumbusha mbali sanaJohn Pangyo, Arumeru Mashariki.
Alipoapishwa siku ya kwanza alishindwa hata kujitambulisha, alinwita spika...ndg. rais
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chege wa Rorya
Sema mkuu🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umenikumbusha mbali sana
Huyu huwa anaongea mbonaEmmanuel Kwezi mbunge wa Kaliua
Hiyo siku nilicheka sanaSema mkuu[emoji1787]
Kuhusu ya mbunge?Hiyo siku nilicheka sana
Spika aliitwa rais na kuanzia hapo hakuongea tena MIAKA mi 3 sasaKuhusu ya mbunge?
Ilikuwa kichekesho sana, wabunge walicheka mnoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Spika aliitwa rais na kuanzia hapo hakuongea tena MIAKA mi 3 sasa
Sijawahi kumsikia au kumuonea kabisa. Anyway bunge lenyewe ni la chama kimoja hivyo huwa silifuatiliiHuyu huwa anaongea mbona