Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TuliaNdugai
Aaahaaaaaa huyu alipataje kura huko Kaskazini? Eti spika RAIS
Mmechagua mwendawazim mnasema mbunge??Mbunge wangu bwana Kavejulu wa manyovu, yaani mvivu ata kugonga meza.
Mbunge siyo kazi yake kusimama na kuongea tu bungeni.
Siyo kweli, wewe hufuatilii bunge. Njeza anaongea halafu hata makala maalum za TBC na ITV huwa wanamfuata kkwa maoni kwenye issues za kilimo na fedhaKuna Oran Njeza huyu nahisi kazi yake nikugonga meza
Biashara zake zitalala. Niliambiwa hugawa kitoweo kwa wapiga kura wake wakati ukifika. Wakishiba kidogo basi njia inakuwa wazi.
Kijiwe chenu V ways na Four ways kinondoniHahah umenikumbusha Richard ndasa,RIP
Wakati nlipokuwa napiga naye ulabu anakuambia uchaguzi ukikaribia yeye ndy anarudi jimboni [emoji1]
Ova
Tumpe uwaziri, tutamskia!!David matayo, sidhani Kama anahudhuria hata hivyo vikao vya bunge.
Anaumwa?David Mathayo wa Musoma mjini. Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi Dodoma
mfano......Acha panic mh. Mbunge... vitu vya kuongea vipo vingi sana sio lazima wananchi waje kuwaletea vya kusema
Mlevi mbwa tu huyoHuyo nywele nyeupe Fred Lowassa naye domo zito sijui Wamasai wenzie huko monduli hawana changamoto za maendeleo
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wavunge ndio nini?Mkuu kuchangia si kuzungumza.
Wavunge wengi wanachangia kwa kuandika.
Wengi sana mkuu
Katibu mkuu kiongozi mstaafu....