Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Saa zingine Bora kukaa kimyaa kuliko yule mbunge aongeaye sanaaa halafu anayoongea hamna hata lenye mashikooo. Ukooo wa waharibifu kwa kuongea ni mkubwa sana kuliko wa wakaa kimyaa
 
Hivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
haha wewe ni mmoja ndani yao si kwautetezi huu
 
Aaahaaaaaa huyu alipataje kura huko Kaskazini? Eti spika RAIS
Huyu phalla hajua kuomba hata kura huwa anaombewa na wapambe, ana honga pesa kuliko mbunge yeyote unayemjua.

Kipindi cha kampeni misimu miwili amewatajirisha wengi sana.

Kama unamfahamu katibu wa ccm Bukoba huyo ndiye kampeni meneja wake jamaa amezila pesa za John hadi ametajirika
 
Huyu phalla hajua kuomba hata kura huwa anaombewa na wapambe, ana honga pesa kuliko mbunge yeyote unayemjua.

Kipindi cha kampeni misimu miwili amewatajirisha wengi sana.

Kama unamfahamu katibu wa ccm Bukoba huyo ndiye kampeni meneja wake jamaa amezila pesa za John hadi ametajirika
Hahah umenikumbusha Richard ndasa,RIP
Wakati nlipokuwa napiga naye ulabu anakuambia uchaguzi ukikaribia yeye ndy anarudi jimboni [emoji1]

Ova
 
Hivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Mh mbunge punguza jazba
 
Back
Top Bottom