Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mbunge wetu wa MCHAMBA WIMA yaan katuletea makopo ya kuchambia kila kaya hajarudi Tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
David Mathayo wa Musoma mjini. Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi DodomaDavid matayo, sidhani Kama anahudhuria hats hivyo vikao vya bunge.
Nani huyo mwenye nysh kbw wa Bukoba jina lake mzeeBona wa Segerea na yuko mmoja wa Bukoba ana nyash kubwaa hao kazi mitandaoni tu hakuna kitu yaani
Aaahaaaaaa huyu alipataje kura huko Kaskazini? Eti spika RAISJohn Pangyo, Arumeru Mashariki.
Alipoapishwa siku ya kwanza alishindwa hata kujitambulisha, alinwita spika...ndg. rais
haha wewe ni mmoja ndani yao si kwautetezi huuHivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Huyu phalla hajua kuomba hata kura huwa anaombewa na wapambe, ana honga pesa kuliko mbunge yeyote unayemjua.Aaahaaaaaa huyu alipataje kura huko Kaskazini? Eti spika RAIS
Hahah umenikumbusha Richard ndasa,RIPHuyu phalla hajua kuomba hata kura huwa anaombewa na wapambe, ana honga pesa kuliko mbunge yeyote unayemjua.
Kipindi cha kampeni misimu miwili amewatajirisha wengi sana.
Kama unamfahamu katibu wa ccm Bukoba huyo ndiye kampeni meneja wake jamaa amezila pesa za John hadi ametajirika
Mh mbunge punguza jazbaHivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Wabunge ni majambazi sanaHahah umenikumbusha Richard ndasa,RIP
Wakati nlipokuwa napiga naye ulabu anakuambia uchaguzi ukikaribia yeye ndy anarudi jimboni [emoji1]
Ova
Yaani tunakuja danganywa na nyama choma na sukari tunayapa maishaSanaaaa
Ova