sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
Mnavowasema hivi kesho wataenda kuchangia..maisha Bongo yamekaa kushtuana zaidi ya uwajibikaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mwantona sijawahi kumsikia akiongea .Jimbo la Rungwe lina mkosi ukimya wa mbunge wa sasa hautofautiani na mtangulizi wake anayeitwa Sauli.Hao hao 2025 tutakuja ambiwa wameshinda kwa kishindo ni ajabu
tarimba kachangia leoTarimba na Abood
Itakuwa kasahau kwamba yeye ni mbungeDavid Mathayo wa Musoma mjini.Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi Dodoma
Acha panic mh. Mbunge... vitu vya kuongea vipo vingi sana sio lazima wananchi waje kuwaletea vya kusemaHivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Temeke ni nani na huyu wa Kigamboni wamechokaDr. Kimei . Huyu toka wazee wa kichaga wamshukie kwa kuwaita wachaga kama wapenda magendo, hajawahi kufungua mdomo tena bungeni. Na 2025 tunampiga chini akafanye yeye hayo magendo.
BusegaMkuu kuchangia si kuzungumza.
Wavunge wengi wanachangia kwa kuandika.
Wengi sana mkuu
Yap.....Upo kwimba mkuu
Huyu mwamba alikua anapelekaga twanga pepeta band huko kwao usukumani wakati wa campaign.Hahah umenikumbusha Richard ndasa,RIP
Wakati nlipokuwa napiga naye ulabu anakuambia uchaguzi ukikaribia yeye ndy anarudi jimboni [emoji1]
Ova
Mbunge wa musoma mjini,haongei wala apambanii Jimbo lake,mpiga dili ,hakuna stendi ya kisasa wala soko a kisasa,rais Samia alifanya ziara mkoani na kuwatupia lawama viongozi kua pesa zinaletwa nyingi wanashindwaHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Wa Bukoba Vijijini RwegasilaHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Huyu mathayo ni boya fulani hivi,lugha ya taifa/kiswahili kinampa shida kukiongea,yenye pamoja na mwenyekiti wa halm ya manispaa(meya Gumbo), ni mizigo,wapiga dili wa manispaaDavid Mathayo wa Musoma mjini.Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi Dodoma
Ila hata hivyo niafadhari kukua kimya kuliko kusimama ukaongea kama yule aliyeongelea Simba kufungwa gori 5 kwamba kuna arufu rushwa lkn jimboni kwake kunamatatizo kibao hayaongeleiHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Mbona yuko vzr tu kuliko waliopita si unaona siku hiz bukoba miradi inatekelezwa...yule wa bukoba mjini
Tangu aingie bungeni yeye kila akisimama hoja yake ni moja tu,Kilaza Babu Tale