Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Hivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Acha panic mh. Mbunge... vitu vya kuongea vipo vingi sana sio lazima wananchi waje kuwaletea vya kusema
 
Dr. Kimei . Huyu toka wazee wa kichaga wamshukie kwa kuwaita wachaga kama wapenda magendo, hajawahi kufungua mdomo tena bungeni. Na 2025 tunampiga chini akafanye yeye hayo magendo.
 
Hahah umenikumbusha Richard ndasa,RIP
Wakati nlipokuwa napiga naye ulabu anakuambia uchaguzi ukikaribia yeye ndy anarudi jimboni [emoji1]

Ova
Huyu mwamba alikua anapelekaga twanga pepeta band huko kwao usukumani wakati wa campaign.
 
Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.

Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?

Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Mbunge wa musoma mjini,haongei wala apambanii Jimbo lake,mpiga dili ,hakuna stendi ya kisasa wala soko a kisasa,rais Samia alifanya ziara mkoani na kuwatupia lawama viongozi kua pesa zinaletwa nyingi wanashindwa
kuzisimamia,ni kilaza Fulani hivi
 
Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.

Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?

Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Wa Bukoba Vijijini Rwegasila
 
Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.

Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?

Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Ila hata hivyo niafadhari kukua kimya kuliko kusimama ukaongea kama yule aliyeongelea Simba kufungwa gori 5 kwamba kuna arufu rushwa lkn jimboni kwake kunamatatizo kibao hayaongelei
 
yule wa bukoba mjini
Mbona yuko vzr tu kuliko waliopita si unaona siku hiz bukoba miradi inatekelezwa...
Wanajenga stendi, barabara ya niia nne, kupanua hospital ya mkoa, taa za barabarani na za kuongoza magari , upanuzi wa bandari ya bukoba nk...

Labda yule wa Bukoba vijijini ndo hovyo ila huyu wa mjini unamuonea tu...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom