Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njalu daud silanga wa itilimaHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Kwa miaka ya hivi karibuni hata wakiitisha mikutano ukauliza swali waweza kubebwa msobemsobe na uvccm mpaka polisi, ukiwapigia simu hawapokei, sasa utawatuma kuanzia wapi, kwanza wenyewe wanasema hatukuwachagua kwahiyo tusiwasumbue.Hivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Hahahaha, visima hakuchimbaMbunge wetu wa MCHAMBA WIMA yaan katuletea makopo ya kuchambia kila kaya hajarudi Tena
Basi babu t atakuwa anachangia kwa kuandika....Mkuu kuchangia si kuzungumza.
Wavunge wengi wanachangia kwa kuandika.
Wengi sana mkuu
Acha uongo. Mbunge wetu Yuko vizuri Sana na nimchangiaji mzuriChege wa Rorya
Biashara zake zitalala. Niliambiwa hugawa kitoweo kwa wapiga kura wake wakati ukifika. Wakishiba kidogo basi njia inakuwa wazi.David Mathayo wa Musoma mjini.Huyu yuko Musoma tangu mwaka 2020 baada ya kuapishwa hakuwahi kurudi Dodoma
Mbunge wa Rungwe,MbeyaHadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.
Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?
Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
Oliva Semuguruka-viti maalumuNani huyo mwenye nysh kbw wa bukoba jina lake mzee
Ova
Huyo alipigwa chini na Chama 2020,yupo mwingine yule Bwana ni Bubu.saul wa rungwe
Kitila Mkumbo hawezi kuongea ameshapewa asali ya Uwaziri.Mbunge wa Ubungo sijamsikiaa
Kibambaa.....nikimaanishaKitila Mkumbo hawezi kuongea ameshapewa asali ya Uwaziri.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Upo kwimba mkuuMansoor Shanif wa KWIMBA.....