Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Tutajie Mbunge ambaye hujawahi kumsikia akichangia chochote Bungeni

Mbunge wangu venant protas anapambana ktk Jimbo letu la igalula amechangia michango mingi sana iliyoleta tija Kwa wanaigalula,likini nampongeza mbunge wa momba home girl wetu amepambana xn kuchangia momba IPO salama sana.
 
Mbunge wa Jimbo la mpanda mkoa katavi anaitwa Sebastian kapufi ni mzingo mkubwa Sana Kwa wananchi ,
Tangu aingie Bungeni hajawahi hata kuomba maiki
 
Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mh,Jeremiah Mrimi Amsabhi,ni mojawapo ya wabunge wakimya na wastaarabu kwa Serikali Bungeni

1 - Mh Jemiah Mrimi Amsabhi.
2- ......
Nilitaka kumuongelea yani huyu jamaa sijui anaona aibu kuongea ili hali watu wa serengeti wanashida mf watu wengi wamekuwa wakipotelea hifadhini kwa kuuwawa na askar pori
 
Hadi wakina Msukuma na Mpina wanapata nafasi kila siku ya kuchangia kati ya wabunge 360 ni ukweli kwamba wapo wabunge wengi ambao kwao wao ubunge ni posho.

Vikao vya bunge vinaanza hadi vinamalizika hakuna siku amewahi kuchangia chochote. Wengi wao ni wabunge wa viti maalum. Swali la kujiuliza wanatumia mbinu gani kuwasiliana na waliowatuma?

Nichukue fursa hii kuomba tuwafahamu wale ambao sauti zao kuzisikia ni nadra tuweze kuwakumbusha umuhimu wa kuongea na kutusemea kunako Bunge.
😄
 
Hivi nyie kuna jambo lolote mliwaambia hao wabunge wakaongee, wakanyamaza? Vinginevyo msiwalaumu. Si kazi yao kujizushia maneno na kusema kwa niaba ya wananchi wangu. Nyie muwaambie wakaseme nini, kama hawapatikani ilo ndio la kuzungumza.
Suala walipatikana vipi hii ni hoja ingie.
Mpaka waambiwe? Majimboni kwao pamoja na mambo kadha wa kadha hawaoni shida, maitaji na mapungufu katika huduma mfano za afya, elimu, miundombinu nk?
 
Kuna Mbunge wa Tabaora vijijini anaishi Sinza.Aisee anaharibu vijana hapa mjini.Anawachukua anakupa milion5 umfukue mtaro then ukimaliza anatoa bastola na yeye anakufukua.Wasanii na Wacheza mpira ndo wahanga.Mfano Kuna mchezaji mmoja wa Yanga kinara huyo nishamuona kabisa na watu hawamdhanii.
 
Back
Top Bottom