Leo ulilala wapi?.Great thread....ila figures kuhusu idadi ya tembo waliopo sasa sio sahihi wapo zaidi ya elf moja isipokuwa wanapatikana crater tu......
Una akili kama za marehemu Mzee.Mi nadhani imefika wakati wa kuweka uzio (fensi) kutenganisha makazi ya maasai dhidi ya raslimali 'wanyama poli' ambayo ni nyeti na inatuingizia fedha nyingi, huku tukiratibu maendeleo ya makazi. Kazi hiyo ya kulinda raslimali kwa kuweka uzio pia ilifanywa na kufanikiwa pale Merelani katika eneo lenye uchimbaji wa madini ya Tanzanite!
Wewe una ushahidi gani Maasai kaua tembo au kakutwa na pembe za ndovu? Maasai ni rafiki wa wanyamapori miaka nenda miaka rudi.Wamasai ni kama waTanzania wengine, wasiruhusiwe kuvunja sheria kana kwamba wao ni special group katika hii mchi, watu wengi wameshafungwa miaka 60 hadi maisha kisa tu wamekutwa na kipande cha pembe ya faru, wao ni nani hadi waachwe waue wanyama? Game reserve police wafanye kazi yao bila ubaguzi, awe mmasai au mnyamwezi, washyghulikiwe ipasavyo!
Unaweza kupendekeza ni eneo gani hilo hapa nchini ambalo liko wazi wanaweza kutengewa kama mkoa waridhike?Maeneo hayatengwi kikamilifu, Unatakiwa kutengwa mkoa mzima uwe ni kwaajili ya wafugaji tu, na wakulima wawe na maeneo yao
Dhu, unasema leo ngorongoro kuna Tembo 30!! chanzo cha data zako ni wapi? Umeamua kutia chumvi kwa data za upotoshaji? Hapa naona umeropoka tu..Tafuta dataMwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!
Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobakia duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.
Wamasai wakihamishwa ngorongoro tutakuwa tumeokoa maisha ya wanyama adimu ulimwenguni. Mwaka 1959 wakati England wanasaini makubaliano na Wamasai Ngorongoro ilikuwa na watu 8000!
Ila hadi sasa ndani ya ngorongoro kuna binadamu wapatao 120000! Tukiendelea na akili za ajabu. baada ya miaka 50 kutoka sasa Ngorongoro itakuwa na Binadamu 1000,000 na tukubali tukatae wajukuu zetu watakuja kuwa wanawaona Twiga na Tembo kwenye Picha na I pad!
Maana kwa akili zetu waTanzania Tembo Wa Ngorongoro hana tumaini tena la kuwa na kizazi chake miaka 30 ijayo!
Ana hekima yoyote ambae anasimama na kuwatetea fisi na chui walio kwenye hatari ya kuangamizwa ulimwenguni kutokana na uharibifu wa binadamu!
By the way Kitenge awe katumwa au hajatumwa, aliloongea lina Faida kwetu na kizazi kijacho! ila kwa sababu Sisi weusi huwa tunaangalia leo hatuangalii kabisa kesho itakuaje, basi mimi najiandaa kurushiwa maneno makali na Kitenge akae chonjo maana binadamu waharibifu wasiofikiria kesho watamuwinda kama digidigi.
**************
Shida Sio uwepo wa Masai Ngorongoro! shida ni Uharibifu unaofanywa na Binadamu Ngorongoro kutokana na Ungezeko la kuzaliana kwao (Masai ni Binadamu).
Kama nilivyosema 1959 kulikuwa na Binadamu 8000, na kulikuwa na Tembo zaidi ya 2000. Leo kuna Binadamu 120000, na tembo wamebaki 30! haya ngoja binadamu wazaliane wafike 1000,000 halafu mje mnipe idadi ya tembo watakaokuwa wamebaki.
LEO HII TUNATOKA NJE KUSAKA MAJANGIRI WANAOUA SIMBA WAKATI MAJANGIRI WAPO NDANI YA NYUMBA HIYO HIYO TUNAYOKAA!
## AKILI ZETU WATANZANIA MMMH!!!
Inauma sana
Ushauri wangu ni binadamu wawaache Wanyama Hapo mbugani. Maana Binadamu si wanyama, hawawezi kuishi na wanyama pamoja mwituni. Watafutiwe maeneo yatakayowafaa wao na mifugo yao, Tanzania ni kubwa sana na maeneo mazuri kwa ufugaji ni mengi sana.
Operation hiyo wapewe JWTZDah Serikali inatakiwa kutumia nguvu la sivyo hivyo mbuga itakuwa jiji miaka 50 ijayo
Madhara gani?? Waambie Wamasai wenzako wajiandae kisaikolojia...Hizo tafiti zenu za 'kipuuzi' bila ushahidi zitawaletea madhara!
Siyo kutumia nguvu Ila inatakiwa Kwanza watafutiwe eneo kubwa kwaajili ya mifugo Yao na familia zao, then wapewe mda wakuweka makazi Yao alafu zoezi la kuwamisha lifate na pia serikali haija jinsi lazima itenge fungu la kuweka miundombinu rafiki kama barabara maji na umemeRais Samia tumia JWTZ kuhamisha hao Wamasai...Tena inatakiwa iwe special Operation kama ile ya.Kibiti..
Nyumba zote ziteketezwe kama si kubomolewa
Mkuu unasema ngorongoro ina tembo 30 je umewahi kufika?Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!
Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobakia duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.
Wamasai wakihamishwa ngorongoro tutakuwa tumeokoa maisha ya wanyama adimu ulimwenguni. Mwaka 1959 wakati England wanasaini makubaliano na Wamasai Ngorongoro ilikuwa na watu 8000!
Ila hadi sasa ndani ya ngorongoro kuna binadamu wapatao 120000! Tukiendelea na akili za ajabu. baada ya miaka 50 kutoka sasa Ngorongoro itakuwa na Binadamu 1000,000 na tukubali tukatae wajukuu zetu watakuja kuwa wanawaona Twiga na Tembo kwenye Picha na I pad!
Maana kwa akili zetu waTanzania Tembo Wa Ngorongoro hana tumaini tena la kuwa na kizazi chake miaka 30 ijayo!
Ana hekima yoyote ambae anasimama na kuwatetea fisi na chui walio kwenye hatari ya kuangamizwa ulimwenguni kutokana na uharibifu wa binadamu!
By the way Kitenge awe katumwa au hajatumwa, aliloongea lina Faida kwetu na kizazi kijacho! ila kwa sababu Sisi weusi huwa tunaangalia leo hatuangalii kabisa kesho itakuaje, basi mimi najiandaa kurushiwa maneno makali na Kitenge akae chonjo maana binadamu waharibifu wasiofikiria kesho watamuwinda kama digidigi.
**************
Shida Sio uwepo wa Masai Ngorongoro! shida ni Uharibifu unaofanywa na Binadamu Ngorongoro kutokana na Ungezeko la kuzaliana kwao (Masai ni Binadamu).
Kama nilivyosema 1959 kulikuwa na Binadamu 8000, na kulikuwa na Tembo zaidi ya 2000. Leo kuna Binadamu 120000, na tembo wamebaki 30! haya ngoja binadamu wazaliane wafike 1000,000 halafu mje mnipe idadi ya tembo watakaokuwa wamebaki.
LEO HII TUNATOKA NJE KUSAKA MAJANGIRI WANAOUA SIMBA WAKATI MAJANGIRI WAPO NDANI YA NYUMBA HIYO HIYO TUNAYOKAA!
## AKILI ZETU WATANZANIA MMMH!!!
Inauma sana
Ushauri wangu ni binadamu wawaache Wanyama Hapo mbugani. Maana Binadamu si wanyama, hawawezi kuishi na wanyama pamoja mwituni. Watafutiwe maeneo yatakayowafaa wao na mifugo yao, Tanzania ni kubwa sana na maeneo mazuri kwa ufugaji ni mengi sana.
Maulid ndio wamemtoa chambo kufanikisha hilo..!Na wanaosafirisha..twiga pia msiwasahau...
Loliondo imekodiwa pesa anakula Mwinyi..
Watoke wote na wanasai.. ..
Pembe zinauzwa na wauzaji wanajulikana..mchina kajaa anakkusanyiwa akauze..leo .anaonekana Masai tu mbaya..
Hana huo ubavu.Rais Samia tumia JWTZ kuhamisha hao Wamasai...Tena inatakiwa iwe special Operation kama ile ya.Kibiti..
Nyumba zote ziteketezwe kama si kubomolewa
Alafu unaweza kukuta wewe naye ni graduate, unaposema 30 tu umesikia Ngorongoro ni Zoo au, unataka tuamini kuwa tukienda Ngorongoro Leo au kesho tutawakuta Hao tembo 30? Unaongelea Masai kuharibu mazingira mbona huongelei moshi wa magari kuchafua mazingira? Mbona huongelei overcrowded tourism activities? We ungekuwa Masai wa Ngorongoro unaambiwa uhame ungekenua meno kwa furaha tu? Unajua maana ya picha ya ng'ombe kwenye logo ya NCA? Tuache ushabiki mandazi acheni wamasai wahame kwa kuamua kwani lazima nature ichukuwe nafasiMwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!
Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea zaidi Tanzania kuhusu wanyama pori. Tanzania ndio wenye wanyama wengi tuliobakia duniani. Ila mbali na hilo wanyama wamekuwa wakiangamizwa kwa speed ya kutisha na sisi wenyewe Watanzania na sasa kuna wanyama ambao wapo kwenye Hatari ya kuangamia kabisa katika uso wa dunia.
Wamasai wakihamishwa ngorongoro tutakuwa tumeokoa maisha ya wanyama adimu ulimwenguni. Mwaka 1959 wakati England wanasaini makubaliano na Wamasai Ngorongoro ilikuwa na watu 8000!
Ila hadi sasa ndani ya ngorongoro kuna binadamu wapatao 120000! Tukiendelea na akili za ajabu. baada ya miaka 50 kutoka sasa Ngorongoro itakuwa na Binadamu 1000,000 na tukubali tukatae wajukuu zetu watakuja kuwa wanawaona Twiga na Tembo kwenye Picha na I pad!
Maana kwa akili zetu waTanzania Tembo Wa Ngorongoro hana tumaini tena la kuwa na kizazi chake miaka 30 ijayo!
Ana hekima yoyote ambae anasimama na kuwatetea fisi na chui walio kwenye hatari ya kuangamizwa ulimwenguni kutokana na uharibifu wa binadamu!
By the way Kitenge awe katumwa au hajatumwa, aliloongea lina Faida kwetu na kizazi kijacho! ila kwa sababu Sisi weusi huwa tunaangalia leo hatuangalii kabisa kesho itakuaje, basi mimi najiandaa kurushiwa maneno makali na Kitenge akae chonjo maana binadamu waharibifu wasiofikiria kesho watamuwinda kama digidigi.
**************
Shida Sio uwepo wa Masai Ngorongoro! shida ni Uharibifu unaofanywa na Binadamu Ngorongoro kutokana na Ungezeko la kuzaliana kwao (Masai ni Binadamu).
Kama nilivyosema 1959 kulikuwa na Binadamu 8000, na kulikuwa na Tembo zaidi ya 2000. Leo kuna Binadamu 120000, na tembo wamebaki 30! haya ngoja binadamu wazaliane wafike 1000,000 halafu mje mnipe idadi ya tembo watakaokuwa wamebaki.
LEO HII TUNATOKA NJE KUSAKA MAJANGIRI WANAOUA SIMBA WAKATI MAJANGIRI WAPO NDANI YA NYUMBA HIYO HIYO TUNAYOKAA!
## AKILI ZETU WATANZANIA MMMH!!!
Inauma sana
Ushauri wangu ni binadamu wawaache Wanyama Hapo mbugani. Maana Binadamu si wanyama, hawawezi kuishi na wanyama pamoja mwituni. Watafutiwe maeneo yatakayowafaa wao na mifugo yao, Tanzania ni kubwa sana na maeneo mazuri kwa ufugaji ni mengi sana.