Tutakuja kujuta tukimpuuza Mzee Warioba. Tumsikilize wakati bado yupo

Tutakuja kujuta tukimpuuza Mzee Warioba. Tumsikilize wakati bado yupo

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Huyu ni Mzee ambaye alikuwepo tangu wakati wa Nyerere. Kikubwa bado yuko fit na anaweza kujibu maswali. Siku hizi wanasiasa wanajiona wanajua sana kila kitu kuongea kishabiki na kuweka kiki. Lakini ukimuona huyu mzee ambaye kaona mengi anahofia kwasababu anaongea kwa uzoefu na data sio ushabiki


View: https://youtu.be/aEPefwrm3g8?si=GUnZyu7_5UPZNDb3
 
Naunga mkono hoja,ila why amepata voice back baada ya kutoka kwenye systems za kiutawala?alishakua PM mbona Haku drive mawazo haya ndani ya bunge (kiongozi wa serikali ndani ya bunge)au kwenye cabinet akiwa PM?
 
Huyu ni Mzee ambaye alikuwepo tangu wakati wa Nyerere. Kikubwa bado yuko fit na anaweza kujibu maswali. Siku hizi wanasiasa wanajiona wanajua sana kila kitu kuongea kishabiki na kuweka kiki. Lakini ukimuona huyu mzee ambaye kaona mengi anahofia kwasababu anaongea kwa uzoefu na data sio ushabiki


View: https://youtu.be/aEPefwrm3g8?si=GUnZyu7_5UPZNDb3

Dr Samia naye anasubiri kuja kuandika Kitabu cha Majuto kama Late Mkapa, Late Mwinyi kwa kushindwa kutumia fursa hii aliyopewa na Mungu.

Sijui kwanini Africa hatupendi kufanya mambo mazuri kwa Maslahi ya Nchi na Taifa.

Mama asidhani Hao wanaccm wachache wanaomlaghai kwamba wana hisani naye.

Akiondoka wataenda Mwingine na yeye atasahaulika.

Tulipata Rais Mchapa kazi Dr John Magufuli lakini alishindwa kufikia malengo kwani Katiba Iliyopo sio tu inamfanya yeye kuwa kama mungu mtu bali pia inamfanya na yeye anakuwa mtumwa wa madaraka
 
Huyu ni Mzee ambaye alikuwepo tangu wakati wa Nyerere. Kikubwa bado yuko fit na anaweza kujibu maswali. Siku hizi wanasiasa wanajiona wanajua sana kila kitu kuongea kishabiki na kuweka kiki. Lakini ukimuona huyu mzee ambaye kaona mengi anahofia kwasababu anaongea kwa uzoefu na data sio ushabiki


View: https://youtu.be/aEPefwrm3g8?si=GUnZyu7_5UPZNDb3

Mzee kama huyu anapambania Katiba Mpya kwa ajili ya vizazi vyake na wajukuu.

Ila kijana kama Mwashamba yuko bize na Simba na Yanga na Uchawa anasema Katiba Mpya haileti Maji
😂😂
 
Naunga mkono hoja,ila why amepata voice back baada ya kutoka kwenye systems za kiutawala?alishakua PM mbona Haku drive mawazo haya ndani ya bunge (kiongozi wa serikali ndani ya bunge)au kwenye cabinet akiwa PM?
Alikua Prime Minister, Vice President, Judge nk.

Pamoja na hayo, he is a man of principles.
 
Naunga mkono hoja,ila why amepata voice back baada ya kutoka kwenye systems za kiutawala?alishakua PM mbona Haku drive mawazo haya ndani ya bunge (kiongozi wa serikali ndani ya bunge)au kwenye cabinet akiwa PM?
Enzi za Mwl mpaka 1990s Katiba Yetu imepitia michakato ya mabadiliko mbali mbali huendi alikuwa Driver.....baada ya Warioba Generation kilifata Kizazi cha Chawa Generation.
 
Back
Top Bottom