Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA