Tutakukosoa tu, hakuna aliyelazimisha uwe Rais. Sikiliza wapinzani tunataka nini

Tutakukosoa tu, hakuna aliyelazimisha uwe Rais. Sikiliza wapinzani tunataka nini

Yani asikilize mnataka nini?

Mnafikiri Rais ni bibi yenu ee?

Rais atafanya kazi kwa mujibu wa taratibu na ilani ya chama chake cha ccm!

Eti asikilize wapinzani tunataka nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

😂😂😂😂😂😂😂
 
Mtasubiri Sana,Katiba ya nini ilikhali hata kilichomo kwenye katiba yetu ya sasa hamkifahamu.sijawahi kuwaelewa chadema na wachaga kwa pamoja kuwa hitaji lao ni lipi
Nyie ndo wale wajinga ambao hamna mnachokielewa zaidi yakushadadia rais kasema nini.leo kasema mchakato usubiri unashangilia kesho akibadili mawazo utakuja tena kushangilia.alafu punguza ujinga wa ukabila autakusaidia kuondoa ujinga ulionao uko kwenu.hopeles kabisa.
 
Eti dola iwasikilize wapinzani wanataka nini?...jaribuni kujifunza siasa sio kuvamia vamia mambo tu..

Ilani inayoongoza nchi ni ilani ya CCM, hii ndio ilani iliyoshinda uchaguzi 2020, CDM, ACT, Chauma nk nao wana ilani zao ambazo hazikushinda uchaguzi na sio ilani zinazoongoza nchi....sasa utaka aliyeko madarakani atumie ilani ya chama pinzania kuongoza nchi?...

Mnadeka mno aisee, ndio maana yule jamaa alikuwa anawapiga mitama na mijeledi tu..Inaonekana ile ndio namna nzuri ya kudeal na nyie..
 
Kama unafikiri kuvumilia ukosoaji ni rahisi, mkosoe Mbowe.

Na kama unadhani kubadili katiba ni rahisi, waambie CHADEMA waweke kipengele cha ukomo wa madaraka, na cha kumwajibisha mwenyekiti[emoji1787]
Ata wewe unaweza kuwaambia.ata hivyo sidhani kama wanachama wa chadema wamesema katiba yao ina mapungufu kiasi hicho vinginevyo wewe ni kiherehere chako tu kujifanya unataka kuwasemea.Katiba ya nchi ni yawananchi wote na katiba ya chadema niya wanachama wa chadema.
 
Hao wananchi wanafikiwa kwa njia zipi.ata serikali ikitaka kufikisha jambo kwa wananchi inatumia makundi maalum au vyombo vyenye mamlaka kiserikali vitakavyokusanya wananchi pamoja.sasa unadhani wananchi mmoja mmoja watafikishaje mawazo yao serikalini bila kutumia makundi kama hayo kwasababu ata mbunge naye ni mwanasiasa.Au unawaza ujinga tu.
Vizuri sana,hao wanaotaka jambo lao hilo wamefuata makundi yapi hayo maalum kujustify takwa hilo?
 
Back
Top Bottom