babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Mama kalikoroga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Watajua hawajuihata siku 360 hazijaisha tutasikia mengi mbona.[emoji28]
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Kwa Afrika nafikiri Demokrasia iliwahi sana,nikiangalia yanayotokea Kenya,Kuna Katiba mpya,lakini Raisi anakuwa jeuri kwa kutumia vyombo vya dola,anamtisha Makamu wake,anadharau bunge,hafati sheria,anaonea wabunge wanaompinga,sasa hebu fikiria kusingekuwa na Katiba mpyaUkisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
Kichaaa ww huna adabu tena shika adabu yako MUNGU HAFANANISHWI NA KITU CHOCHOTE WE UNAABUDU MASHETANISijampata kuona lichama la hovyo Kama CCM kwao mtu akiwa rais ana madaraka zaidi ya mwenyezi Mungu.
Hiyo katiba mnayoitaka ni wananchi wangapi wanaijua.Naona wanasiasa na wansharakati ndio wanahangaika tuuHuyu tukitumia nguvu kidogo tu kudai katiba ataachia na hatimaye mageuzi rasmi yatapatikana
Kama unafikiri kuvumilia ukosoaji ni rahisi, mkosoe Mbowe.Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
Wehu na wapumbavu hawaYani asikilize mnataka nini?
Mnafikiri Rais ni bibi yenu ee?
Rais atafanya kazi kwa mujibu wa taratibu na ilani ya chama chake cha ccm!
Eti asikilize wapinzani tunataka nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chadema hua mnajikuta ni nani nchi hii, eti asikilize tunataka nini!
Maanina.
Watazaa safari hii umb.wa koko hawaMama endelea kushikilia hapo hapoooo,umewapiga TKO ya hatari.
Hicho wanachokidai wao ni takwa lao wao,wananchi hawajawahi kuleta maombi popote kuomba hicho wanachokitaka.
Usicheke na nyani utavuna mabua,ukiona adui wako anakusifia sana kuwa makini nae sana.
Nyumbu wakikujibu nishtueKama unafikiri kuvumilia ukosoaji ni rahisi, mkosoe Mbowe.
Na kama unadhani kubadili katiba ni rahisi, waambie CHADEMA waweke kipengele cha ukomo wa madaraka, na cha kumwajibisha mwenyekiti[emoji1787]
Hivi ulishajiuliza ni nani atasimamia katiba mpya isiyoegemea upande? Hivi una amini serikali iliyo madarakani inaweza kuleta kusikamia katiba unayoifikiria?Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
WEWE NI NANI?Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
Sio kila kitu kipya ni bora.inawezekana wana katiba mpya kama andiko lakini halina ubora wowote.waafrika hatupendi vitu vizuri vyakutuongoza.Ni waafrika wachache sana wanaoweza kuweka misingi mizuri yakisheria itakayoweza kumwajibisha ata yeye mwenyewe.Kwa Afrika nafikiri Demokrasia iliwahi sana,nikiangalia yanayotokea Kenya,Kuna Katiba mpya,lakini Raisi anakuwa jeuri kwa kutumia vyombo vya dola,anamtisha Makamu wake,anadharau bunge,hafati sheria,anaonea wabunge wanaompinga,sasa hebu fikiria kusingekuwa na Katiba mpya
Ndo maana elimu inaendelea kutolewa ili kuwaelimisha wananchi wengi zaidi.ila usisahau kua ata hao wanasiasa na wanaharakati nao ni wananchi.Hiyo katiba mnayoitaka ni wananchi wangapi wanaijua.Naona wanasiasa na wansharakati ndio wanahangaika tuu
Katiba mpya ni muhimu sanaUkisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.
Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?
Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.
Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.
Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.
Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.
KATIBA MPYA NI LAZIMA
Hao wananchi wanafikiwa kwa njia zipi.ata serikali ikitaka kufikisha jambo kwa wananchi inatumia makundi maalum au vyombo vyenye mamlaka kiserikali vitakavyokusanya wananchi pamoja.sasa unadhani wananchi mmoja mmoja watafikishaje mawazo yao serikalini bila kutumia makundi kama hayo kwasababu ata mbunge naye ni mwanasiasa.Au unawaza ujinga tu.Mama endelea kushikilia hapo hapoooo,umewapiga TKO ya hatari.
Hicho wanachokidai wao ni takwa lao wao,wananchi hawajawahi kuleta maombi popote kuomba hicho wanachokitaka.
Usicheke na nyani utavuna mabua,ukiona adui wako anakusifia sana kuwa makini nae sana.