Tutakukosoa tu, hakuna aliyelazimisha uwe Rais. Sikiliza wapinzani tunataka nini

Tutakukosoa tu, hakuna aliyelazimisha uwe Rais. Sikiliza wapinzani tunataka nini

Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.

Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?

Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.

Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.

Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.

Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.

KATIBA MPYA NI LAZIMA
Kwa Afrika nafikiri Demokrasia iliwahi sana,nikiangalia yanayotokea Kenya,Kuna Katiba mpya,lakini Raisi anakuwa jeuri kwa kutumia vyombo vya dola,anamtisha Makamu wake,anadharau bunge,hafati sheria,anaonea wabunge wanaompinga,sasa hebu fikiria kusingekuwa na Katiba mpya
 
Sijampata kuona lichama la hovyo Kama CCM kwao mtu akiwa rais ana madaraka zaidi ya mwenyezi Mungu.
Kichaaa ww huna adabu tena shika adabu yako MUNGU HAFANANISHWI NA KITU CHOCHOTE WE UNAABUDU MASHETANI
 
Mama endelea kushikilia hapo hapoooo,umewapiga TKO ya hatari.

Hicho wanachokidai wao ni takwa lao wao,wananchi hawajawahi kuleta maombi popote kuomba hicho wanachokitaka.

Usicheke na nyani utavuna mabua,ukiona adui wako anakusifia sana kuwa makini nae sana.
 
Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.

Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?

Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.

Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.

Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.

Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.

KATIBA MPYA NI LAZIMA
Kama unafikiri kuvumilia ukosoaji ni rahisi, mkosoe Mbowe.

Na kama unadhani kubadili katiba ni rahisi, waambie CHADEMA waweke kipengele cha ukomo wa madaraka, na cha kumwajibisha mwenyekiti🤣
 
Yani asikilize mnataka nini?

Mnafikiri Rais ni bibi yenu ee?

Rais atafanya kazi kwa mujibu wa taratibu na ilani ya chama chake cha ccm!

Eti asikilize wapinzani tunataka nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wehu na wapumbavu hawa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwani wamekatazwa na nani si waanzishe katiba yao.

Kuna wengine eti wanasema asiitwe tena Mama.
 
Chadema hua mnajikuta ni nani nchi hii, eti asikilize tunataka nini!

Maanina.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Eti wasikilizwe, rais hana muda mchafu.

Kina Lissu wameanza kuomba omba huko eti wahakikishiwe usalama. Pumbavu sana hawa watu, yaani rais aache kuwatumikia Watanzania aanze kuhakikishia watu sijui uhuru sijui usalama??

Hii nchi ni huru na salama tangu 1961.

Na atakae taka kuondoa amani na usalama wetu mamlaka zita-deal nae
 
Mama endelea kushikilia hapo hapoooo,umewapiga TKO ya hatari.

Hicho wanachokidai wao ni takwa lao wao,wananchi hawajawahi kuleta maombi popote kuomba hicho wanachokitaka.

Usicheke na nyani utavuna mabua,ukiona adui wako anakusifia sana kuwa makini nae sana.
Watazaa safari hii umb.wa koko hawa
 
Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.

Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?

Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.

Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.

Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.

Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.

KATIBA MPYA NI LAZIMA
Hivi ulishajiuliza ni nani atasimamia katiba mpya isiyoegemea upande? Hivi una amini serikali iliyo madarakani inaweza kuleta kusikamia katiba unayoifikiria?
 
Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.

Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?

Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.

Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.

Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.

Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.

KATIBA MPYA NI LAZIMA
WEWE NI NANI?
 
Kwa Afrika nafikiri Demokrasia iliwahi sana,nikiangalia yanayotokea Kenya,Kuna Katiba mpya,lakini Raisi anakuwa jeuri kwa kutumia vyombo vya dola,anamtisha Makamu wake,anadharau bunge,hafati sheria,anaonea wabunge wanaompinga,sasa hebu fikiria kusingekuwa na Katiba mpya
Sio kila kitu kipya ni bora.inawezekana wana katiba mpya kama andiko lakini halina ubora wowote.waafrika hatupendi vitu vizuri vyakutuongoza.Ni waafrika wachache sana wanaoweza kuweka misingi mizuri yakisheria itakayoweza kumwajibisha ata yeye mwenyewe.
 
Hiyo katiba mnayoitaka ni wananchi wangapi wanaijua.Naona wanasiasa na wansharakati ndio wanahangaika tuu
Ndo maana elimu inaendelea kutolewa ili kuwaelimisha wananchi wengi zaidi.ila usisahau kua ata hao wanasiasa na wanaharakati nao ni wananchi.
 
Ukisikiliza tena kwa makini ni kama naye hapendi kukosolewa. Anasema kabisa sio na kigazeti chako mara uandike samia hivi mara vile, vingine vya uongo vingine vya ukweli.

Hii kauli inalenga kuwatisha waandishi na wakosoaji. Siku 100 tu unaanza kuona kwamba kukosolewa kunauma je miaka mitano ijayo? Si ndio yatakuwa yaleyale ya mwendazake?

Udikteta hata wa mwendazake ulianza hivihivi kwa kufumbiww macho, mwisho ukashamiri. Hakuna aliyekulazimisha uwe mwanasiasa na uwe Raisi, hivyo ukiona kazi ngumu jiuzulu.

Ili kuepuka yote hayo tunahitaji KATIBA MPYA KWA HARAKA SANA. Bila hii katiba mpya tegemea wakosoaji kuongezeka siku hadi siku na tegemea kila aina ya ukosoaji maana tushakua sugu sasa.

Katiba ni kaburi la CCM, hivyo tusitegemee wataikubali kirahisi rahisi. Hakuna mwanaccm anayeweza kuishi nje ya mfumo wa kubebana bebana. WanaCCM kwao cha kwanza ni madarska na vyeo. Walijikomba sana kwa jiwe na leo wanajikomba sana kwa huyu mama. usishangae kesho raisi akawa Steve nyerere wakaanza tena kujikomba kwake.

Hii katiba ya safari hii ni lazima mchakato ukamilike hakuna tena excuse.

KATIBA MPYA NI LAZIMA
Katiba mpya ni muhimu sana
 
Hahahahahaha utoto mwingine huu..

yule jamaa mbona hamkuwa mnamlazimisha asikilize mnataka nini, zaidi ya nyie kusikiliza anataka nini?...hapa ndio mnapodhihirisha utoto na uoga wenu kwenye mambo yanayohitaji uanamume na ujasiri...HAKUNA DOLA INAPATIKANA KIRAHISI DUNIANI, mjifunze kufa na kumwaga damu kwa manufaa ya vizazi vyenu sio kujificha mafichoni pale mnapoona magumu.

Sasa hivi wote mmetoka mafichoni baada ya kuona mama anawasikiliza na sio mkali wa mikwala na mateso, eti leo mnajifanya majasiri kudai katiba mpya na blah blah nyiiingi..
 
Mama endelea kushikilia hapo hapoooo,umewapiga TKO ya hatari.

Hicho wanachokidai wao ni takwa lao wao,wananchi hawajawahi kuleta maombi popote kuomba hicho wanachokitaka.

Usicheke na nyani utavuna mabua,ukiona adui wako anakusifia sana kuwa makini nae sana.
Hao wananchi wanafikiwa kwa njia zipi.ata serikali ikitaka kufikisha jambo kwa wananchi inatumia makundi maalum au vyombo vyenye mamlaka kiserikali vitakavyokusanya wananchi pamoja.sasa unadhani wananchi mmoja mmoja watafikishaje mawazo yao serikalini bila kutumia makundi kama hayo kwasababu ata mbunge naye ni mwanasiasa.Au unawaza ujinga tu.
 
Back
Top Bottom