MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kunaweza kuleta tafrani kubwa sana... ngoja tuoneHuyu atataka kufanya hivyo ila nadhani wakati huo ndio atapambana na chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunaweza kuleta tafrani kubwa sana... ngoja tuoneHuyu atataka kufanya hivyo ila nadhani wakati huo ndio atapambana na chama.
Hata mimi nimeshangaa kwakweli.Hamis Kigwangalla?!!!
SureSiwezi puuza huu uzi watu waoga huwa wanaweka kinga ili wasiumizwe ila kuna mawili
1.KUKOMAA MADARAKANI
2.AU KUKIMBIA NCHI/KUISHI UHAMISHONI ILI WATU WASILIPE KISASI
3.KUMCHAGUA SHOSTI MWENYE MAELEKEZO YA KUMLINDA kama mtoa mada asemavyo humu
Umeona lile feni analotembea nalo kwenye gari lakini, lile ni lazima liwe nyuma yeye mbele.
AiseeeSijui kama tutafika 2025 salama, maana kwa ninavyo uona mwelekeo kama dereva gari limesha mshinda na limeshaacha njia. Amesha amua liwalo na liwe, kama kuchoma kibanda fresh tu.
Sio kwa hali hii ya sasa hivi mpaka kufikia hatua "TRA KUANZISHA KODI ZA VITANDA". Wenyewe kwa lugha ya malkia eti wanaita "BED LEVY".
[emoji16][emoji16]Viongozi wa awamu hii wanaishi kwa woga sana, kama vile hajashinda uchaguzi. Jana Majaliwa alikua anapita, nusu saa kabla bara bara iliachwa wazi na traffic, magari yote yalipack pembeni. Majaliwa alipita kama mwewe.
Ulimaanishaga nini hapa aiseeSijui kwanini, lakini ex-president anapokuwa kama alivyokuwa Nyerere kwa Mkapa, au Mkapa kwa Magu, kuna zarura zinatokeaga...
Nyerere alimkosoa sana Mkapa. Mkapa alishaanza kumkosoa Magufuli
Ulikuwa unazungumzia feni gani bestUmeona lile feni analotembea nalo kwenye gari lakini, lile ni lazima liwe nyuma yeye mbele.
Mkuu hivyo vipaja vilikua vipo vipiVile vipaja vyake hujaviona? hafiki 2025
Sijui kama tutafika 2025 salama, maana kwa ninavyo uona mwelekeo kama dereva gari limesha mshinda na limeshaacha njia. Ameshaamua liwalo na liwe, kama kuchoma kibanda fresh tu.
Sio kwa hali hii ya sasa hivi mpaka kufikia hatua "TRA KUANZISHA KODI ZA VITANDA". Wenyewe kwa lugha ya malkia eti wanaita "BED LEVY".
Watu waliyaona,Umeona lile feni analotembea nalo kwenye gari lakini, lile ni lazima liwe nyuma yeye mbele.