Tutakumbushana tena 2025 Magufuli kama atakubali kuachia madaraka basi atalazimisha kutuachia Rais anayependa yeye

Tutakumbushana tena 2025 Magufuli kama atakubali kuachia madaraka basi atalazimisha kutuachia Rais anayependa yeye

Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo

1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu.

2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi.

3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa.

4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.

5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote.

KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO

1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe

2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga

3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli

4. Hamis kigwangalla,


Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao

Tukumbushane July 2025

Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati

Amen

Britannica
Kwa saivi anasemaje huko mlipo, maana wewe nawe una kiherehere kama msukule wa Magu vile
 
Watu waliyaona,

Halaf alivyokuwa mbishi alikuwa anajifanya si mgonjwa eti, hadi siku ya mwisho anakufa bado anaendelea kufunga watu jela duh
Kile kizee kilikuwa na roho ya kutu sana heri kimetangulia.
 
Viongozi wa awamu hii wanaishi kwa woga sana, kama vile hajashinda uchaguzi. Jana Majaliwa alikua anapita, nusu saa kabla bara bara iliachwa wazi na traffic, magari yote yalipack pembeni. Majaliwa alipita kama mwewe.
 
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo

1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu.

2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi.

3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa.

4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.

5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote.

KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO

1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe

2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga

3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli

4. Hamis kigwangalla,


Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao

Tukumbushane July 2025

Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati

Amen

Britannica
Yuko wapi ??
 
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa ujumla kuhakikisha anayebaki ni yule atakayefanya yafuatayo

1. Hataruhusu kujadiliwa kwa aliyofanya rais mstaafu.

2. Hataibua hoja au hataruhusu hoja za kuhoji matumizi yasiyofuata taratibu za Manunuzi kama vile ununuzi wa Ndege, na ujenzi wa miradi mbali mbali Ambayo haikufuata utaratibu na hatuoni uwazi.

3. Hataruhusu kuhoji haki za watu zilizopotea na haki za watu waliouwawa au kufichwa kabisa.

4. Hataruhusu kuhojiwa Kwa wafanya biashara Walidhulumiwa na serikali na wengine kufungwa kwa kisingizio cha Uhujumu uchumi na utakatishaji pesa.

5. Hataruhusu kabisa uwazi wa namna yeyote.

KATIKA WATU ANAOWAONA WATAIWEZA KAZI HIYO

1. Bwana Hussein Mwinyi wa Zanzibar, huyu atakuwa ni yule wa Ndiyo mzee wangu mstaafu pumzika usiguswe

2. Paul Makonda, kwa Muda huu anatuzuga kamsahau lakin kwa Mabalaa na Maajabu ya Tanzania ukashangaa 2026 anapigiwa mizinga

3. Kassim Majaliwa, Huyu naye yuko Obedient Sana kwa Magufuli

4. Hamis kigwangalla,


Si lazima jina liwe kwenye hayo ila atapitishwa mwenye sifa za hao

Tukumbushane July 2025

Mungu atuweke na yeye amuweke pia maana ya Mungu Mengi hapa kati kati

Amen

Britannica

Usimpangie Mungu Mambo yako.
 
Sijui kama tutafika 2025 salama, maana kwa ninavyo uona mwelekeo kama dereva gari limesha mshinda na limeshaacha njia. Ameshaamua liwalo na liwe, kama kuchoma kibanda fresh tu.

Sio kwa hali hii ya sasa hivi mpaka kufikia hatua "TRA KUANZISHA KODI ZA VITANDA". Wenyewe kwa lugha ya malkia eti wanaita "BED LEVY".
Hakika
 
Siwezi puuza huu uzi watu waoga huwa wanaweka kinga ili wasiumizwe ila kuna mawili
1.KUKOMAA MADARAKANI
2.AU KUKIMBIA NCHI/KUISHI UHAMISHONI ILI WATU WASILIPE KISASI
3.KUMCHAGUA SHOSTI MWENYE MAELEKEZO YA KUMLINDA kama mtoa mada asemavyo humu
Siku hizi uko kimya
 
Back
Top Bottom