Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 478
Kamanda Mawazo ccm wameshachanganyikiwa kutokana namakashfa yao mwezi wa kumi kila mtanzania ameshachokanao
Kamanda Watanzania wameshafikiwa na hayo Maono Angalia marudio ya uchaguzi za serekali za mitaa watanzania delete ccm imefanya kazi nzuri sanaNingekuwa na kipaza sauti kikubwa chenye uwezo wa kuwafikia wanyonge wote nchini ningesimama mlimani nikaongea mpaka nifie hapo
Kamanda Watanzania wameshafikiwa na hayo Maono Angalia marudio ya uchaguzi za serekali za mitaa watanzania delete ccm imefanya kazi nzuri sana
Chadema Kwanza
Usukumani gani unayoiongelea wewe? Mbona huku kwetu ACT haipo? Chama cha Waha hicho na hivi mmemfanyia fitina Kidawi Limbu sidhani kama mtafanikiwa!!Kamanda Mawazo ,Chama makini cha ACT ndicho kinachokubalika usukumani na kanda ya ziwa yote, Chadema imekaa kibaguzi mno kanda ya ziwa wameshtuka ni saccos ya mtei
kijana , huyu ni kamanda na kiongozi wa juu wa chama , heshima ni muhimu .Unaongea mwenyewe na kupost mwenyewe huna tofauti na wanaojitekenya na kucheka mwenyewe
Kamanda Mawazo ,Chama makini cha ACT ndicho kinachokubalika usukumani na kanda ya ziwa yote, Chadema imekaa kibaguzi mno kanda ya ziwa wameshtuka ni saccos ya mtei
Nakubaliana nawe, lakini tusimwamini huyu nyoka ccm mpaka tupasue pasue kichwa chake chote, tuongezeni nguvu zaidi
nimekudharau sana bwana mdogo ! mnakaririshwa hata ujinga ; very poor !We utakua ni mchaga pia!!!