Tutakuwa tumekosea tukiwaruhusu tena CCM

Tutakuwa tumekosea tukiwaruhusu tena CCM

Joined
Sep 10, 2013
Posts
335
Reaction score
478
Niko Bukene kwa ziara ya siku tano hivi.

Matatizo ya wana Bukene juu ya bei mbaaya ya zao la tumbaku linafanana sana na wakulima wa Pamba huko usukumani Mwanza,Simiyu, Shinyanga, Geita na kwigineko lilivyo,nimewaambia ni aibu kwa namna tulivyo wengi kuendelea kulialia wakati nguvu na uwezo wa kubadili mambo tunao

Ni utaahila kuiacha ccm madarakani uchaguzi ujao na tukifanya hivyo basi tuwaruhusu kutufanyia watakalo.Inakera kuona mtu mwenye silaha nzito mikononi mwake akimkimbia mwenye kisu cha kukatia nyanya jikoni
 
Unaongea mwenyewe na kupost mwenyewe huna tofauti na wanaojitekenya na kucheka mwenyewe
 
Kamanda Mawazo ccm wameshachanganyikiwa kutokana namakashfa yao mwezi wa kumi kila mtanzania ameshachokanao
 
Kamanda Mawazo ccm wameshachanganyikiwa kutokana namakashfa yao mwezi wa kumi kila mtanzania ameshachokanao

Ningekuwa na kipaza sauti kikubwa chenye uwezo wa kuwafikia wanyonge wote nchini ningesimama mlimani nikaongea mpaka nifie hapo
 
Ningekuwa na kipaza sauti kikubwa chenye uwezo wa kuwafikia wanyonge wote nchini ningesimama mlimani nikaongea mpaka nifie hapo
Kamanda Watanzania wameshafikiwa na hayo Maono Angalia marudio ya uchaguzi za serekali za mitaa watanzania delete ccm imefanya kazi nzuri sana

Chadema Kwanza
 
BRACKING NEWS!

Mbeya Wananchi wajuta kuwa chagua wenyeviti wa mitaa wa CHADEMA Wamesema hawatarudia makosa
 
Kamanda Mawazo ,Chama makini cha ACT ndicho kinachokubalika usukumani na kanda ya ziwa yote, Chadema imekaa kibaguzi mno kanda ya ziwa wameshtuka ni saccos ya mtei
 
Kamanda Watanzania wameshafikiwa na hayo Maono Angalia marudio ya uchaguzi za serekali za mitaa watanzania delete ccm imefanya kazi nzuri sana

Chadema Kwanza

Nakubaliana nawe, lakini tusimwamini huyu nyoka ccm mpaka tupasue pasue kichwa chake chote, tuongezeni nguvu zaidi
 
Kamanda Mawazo ,Chama makini cha ACT ndicho kinachokubalika usukumani na kanda ya ziwa yote, Chadema imekaa kibaguzi mno kanda ya ziwa wameshtuka ni saccos ya mtei
Usukumani gani unayoiongelea wewe? Mbona huku kwetu ACT haipo? Chama cha Waha hicho na hivi mmemfanyia fitina Kidawi Limbu sidhani kama mtafanikiwa!!
 
Kamanda Mawazo ,Chama makini cha ACT ndicho kinachokubalika usukumani na kanda ya ziwa yote, Chadema imekaa kibaguzi mno kanda ya ziwa wameshtuka ni saccos ya mtei

ile Ban yako ya mwaka mmoja iliyosababishwa na matusi umeisahau ? basi subiri .
 
Kamanda usife moyo hata mimi wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa sikuwa najua watu wamebadilika nilijua mtaani kwangu itarudi tena ccm lakini cha kushangaza walipata mjumbe mmoja tu wengine wote in chadema!

Unayo pointi ya msingi kwamba hatuwezi kujiamini lazima tupambane mpaka dakika moja kabla ya kipenga cha kuanza kupiga kura! Ni muhimu kuishinda ccm kwa aibu ili baada ya hapo isionekane tena kama KANU ya Kenya.
 
Back
Top Bottom