Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Naunga mkono Hoja, Hata wale wanaojifanya kuikataa CCM lakini wanasapoti Tanganyika kuikalia Zanzibar kimabavu nao ni hao hao.

Namkubali sana Tundu Lisu, sababu always hua anasimama kwenye ukweli, ni tofauti sana na wafuasi wengi wa CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…