Uchaguzi 2020 Tutamchukulia fomu ya kugombea Ubunge wa Kawe Dkt. Slaa

Uchaguzi 2020 Tutamchukulia fomu ya kugombea Ubunge wa Kawe Dkt. Slaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huko mi kujidhalilisha sasa kuwa ninyi hamna uwezo wa kugombea mpaka mumrambe miguu mtu mwingine. Kwanini msijichukulie wenyewe na kugombea. Ninyi hamna hata sifa ya kujua kusoma na kuandika hadi muanze kujiingiza katika utumwa? Aibu!
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Duh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.
Dr. Slaa ni Mstaafu, akimaliza kuhudumu ubalozini, mwache astaafu kwa amani na akajipumzikie kule Canada, Kawe waachiwe wana Kawe.
P
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu babu atawezaje kutuambia alipinga ufisadi alafu akaungana nao, wakati kina Rostam wanashinda ikulu
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Unadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?
 
... wakati kina Rostam wanashinda ikulu

Miongoni mwa pesa iliyotafunwa na Mbowe ni pamoja na pesa iliyotolewa na Rostam kuisaidia chadema lakini Mbowe kasema ni pesa yake anakikopesha chama. Unalijua hilo?!
 
Jamani vijana wamekosekana mtu anamiaka 70 mmnataka awe mbunge tena labda kwenye vile vitu 10 vya rais but hivi vya kuchaguliwa no please
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Aisee itakuwa poa maana tutammaliza jumla ili na nyie mumsahau.
 
CDM walikosea sana kuingia kingi kumpokea Lowassa. Wamebaki na ruzuku na ruzuku yenyewe wanaenda kupokwa kwa kukosa imani ya wananchi.
Siasa ni itikadi sio matukio. Ndio maana ulaya kuna wahafidhina na waliberali.
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Mmelipwa ngapi ngapi na mheshimiwa balozi mpaka mmeamua kufanya kazi ya ukuwadi wa kisiasa
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Tusimsahau na Balozi Wilson Mashingilingi hasa ikizingatiwa Mh Lwakatare amekiri kustaafu jimboni
 
Kweli kabisa hizi no zama za vijana, vizee vyote visirudi bungeni.
 
Tusimsahau na Balozi Wilson Mashingilingi hasa ikizingatiwa Mh Lwakatare amekiri kustaafu jimboni
Pale Bukoba mjini kuna wagombea wengi, W. Masilingi in wa Muleba lakini hawezi tia pua maana amezubaisha maendeleo.
 
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.

Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.

Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Naona baada ya kumtumia kama toilet paper mmeamua kumdhalilisha sasa kama Wasira. Zamu hii mnataka avuliwe nguo na 'Sauti ya Zege'
 
Back
Top Bottom