Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 426
Kawe anapewa Kaka Para......unless CCM wagawanyike wasipo gawanyika.....Para anatangazwa mapema asubuhiUnadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawe anapewa Kaka Para......unless CCM wagawanyike wasipo gawanyika.....Para anatangazwa mapema asubuhiUnadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?
Mdee hawezi kutia madole Yake kawe Safari hii. Akaendelee na uenyekiti kule bawacha.Unadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?
Kawe hakuna anayemtaka mdee. Safari hii anatakiwa mtu mcha Mungu huyu mdee anakashfa ya usagaji kwa wabunge wenzake.Ni kweli, ila sio kwa kura halali za wananchi.
Kwa vile huyo sauti ya zege anamvua nguo ester unafikiri anaweza kumvua nguo Dr.?Naona baada ya kumtumia kama toilet paper mmeamua kumdhalilisha sasa kama Wasira. Zamu hii mnataka avuliwe nguo na 'Sauti ya Zege'
Jidanganyeni tu. Mdee atarudi TUU kwa KURA zitazolindwa kwa nguvu ya wananchi.Mdeee harud bungeni wewe Kama hujui
Kwa vile huyo sauti ya zege anamvua nguo ester unafikiri anaweza kumvua nguo Dr.?
Poleni sana,Kawe hakuna anayemtaka mdee. Safari hii anatakiwa mtu mcha Mungu huyu mdee anakashfa ya usagaji kwa wabunge wenzake.
Duh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.
Dr. Slaa ni Mstaafu, akimaliza kuhudumu ubalozini, mwache astaafu kwa amani na akajipumzikie kule Canada, Kawe waachiwe wana Kawe.
P
Kawe hakuna anayemtaka mdee. Safari hii anatakiwa mtu mcha Mungu huyu mdee anakashfa ya usagaji kwa wabunge wenzake.
Bwashee Dr Slaa nyumbani kwake ni Mbweni kule Canada alienda kutafuta maisha tu.Duh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.
Dr. Slaa ni Mstaafu, akimaliza kuhudumu ubalozini, mwache astaafu kwa amani na akajipumzikie kule Canada, Kawe waachiwe wana Kawe.
P
Aisee itakuwa poa maana tutammaliza jumla ili na nyie mumsahau.
Mchukulie na MakondaKimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hata wewe ubunge wa kujua kusoma na kuandika unakufaa sana. Fanya michakato ugombee jimbo la Chato.Duh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.
Dr. Slaa ni Mstaafu, akimaliza kuhudumu ubalozini, mwache astaafu kwa amani na akajipumzikie kule Canada, Kawe waachiwe wana Kawe.
P
Acheni kumshusha huyo mzee, yule anastahili u rais, mpambanisheni na Pombe ndani ya ccm.Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Weka point zako vyema, CHADEMA YA LEO NI CHAMA CHA WALEVI MBWII NA PUPUCHI. Hakuna kitu tena cha kutufanya tuwe tayari kufia chama.Wewe ni kichaa unayetembea hujielewi, Chadema iliyopinga ufisadi siyo hii inayotetea maovu