Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mgonjwa hata uji unamshinda kuunywa na drip inagoma mishipa haionekani.Vipimo vote vinaonyesha hali ya Mgonjwa ni mbaya Tuendee kujichanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa hata uji unamshinda kuunywa na drip inagoma mishipa haionekani.Vipimo vote vinaonyesha hali ya Mgonjwa ni mbaya Tuendee kujichanga
Makonda atachukuliwa na Yericko Nyerere!Mchukulie na Makonda
Ahahahhaahah interestingMakonda atachukuliwa na Yericko Nyerere!
Hivi tuweni wa kweli huyu mzee chadema mnamchukia kwa nini?Huyo hapati kura za wananchi kachagua upande mbaya labda tu mumtangaze mshindi.
Nani kakuambia makonda anataka ubunge hko kigamboni, Hvi hujui Rc tu pale karidhika maana kama power anayo ya kutoshaMakonda atachukuliwa na Yericko Nyerere!
DR. SLAA HATA AKIGOMBEA HAI, ARUSHA,IRINGA NA HATA MBEYA, anashinda asubuhi na mapema.Huyo hapati kura za wananchi kachagua upande mbaya labda tu mumtangaze mshindi.
Hahahaaaa...... Hata Trump na Biden wana kila kitu lakini bado wanatamani kuwatumikia Wamarekani.Umenikumbusha mzee wangu mmoja alikuwa Japan Enzi hizo mzee Raphael lukindo alipoachana na kustaafu ubalozi walitaka kumpa ubunge tanga huko
Yeye alichomoa, Aliwambia wamwache apumzike
Siku zote alikuwa ananiambia unajua mm nishakula sana Maisha, nishafanya starehe za kutosha
Mambo ya pilika Sasa basi acha nipumzike, akawa mtu wa dini tu.... Dah huyu mzee alikuwa mbritish, suti zake, saa balaa, Gari yeye ni Benz tena special order.... Tena mjerumani.... Mzee full of exposure
Marekani, ulaya huko watu wamekwenda Miaka ya 60 utawambia nn.... Alikuwa syo mlugaluga
Nashangaa Leo hii mtu akipewa nafasi hataki kupumzika
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kusoma hujui hata picha huoni bwashee?Nani kakuambia makonda anataka ubunge hko kigamboni, Hvi hujui Rc tu pale karidhika maana kama power anayo ya kutosha
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hao wanataka power tuHahahaaaa...... Hata Trump na Biden wana kila kitu lakini bado wanatamani kuwatumikia Wamarekani.
Hiyo ni kawaida sana!
Watu wapya wako wengi mwache uko aliko anapata ugaliKimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
kawe sio mbagala mzee. huku tunakaa tunaojielewe haya mambo kaseme kwenu Tandika hukoAtarudi kwa vile viti vyao.
Thibitisha we mbwiga!Miongoni mwa pesa iliyotafunwa na Mbowe ni pamoja na pesa iliyotolewa na Rostam kuisaidia chadema lakini Mbowe kasema ni pesa yake anakikopesha chama. Unalijua hilo?!
Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
akina Halima MdeeDuh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.
Dr. Slaa ni Mstaafu, akimaliza kuhudumu ubalozini, mwache astaafu kwa amani na akajipumzikie kule Canada, Kawe waachiwe wana Kawe.
P
Kawe hakuna anayemtaka mdee. Safari hii anatakiwa mtu mcha Mungu huyu mdee anakashfa ya usagaji kwa wabunge wenzake.
Kwenye majimbo ambayo yataanza kurudi CCM mapema,la kwanza ni kawe.Sauti ya zege hawezi rudi piga ua galagaza hawezi rudi.