johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Duh Mkuu mbona unataka kututishia amani ?.Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Huyu babu atawezaje kutuambia alipinga ufisadi alafu akaungana nao, wakati kina Rostam wanashinda ikuluKimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Unadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Unadhani wana Kawe wamesahau! Jaribu muone! Una m-underate Mdee?
... wakati kina Rostam wanashinda ikulu
Mdeee harud bungeni wewe Kama hujui
Mdeee harud bungeni wewe Kama hujui
Wewe ni kichaa unayetembea hujielewi, Chadema iliyopinga ufisadi siyo hii inayotetea maovuHuyu babu atawezaje kutuambia alipinga ufisadi alafu akaungana nao, wakati kina Rostam wanashinda ikulu
Aisee itakuwa poa maana tutammaliza jumla ili na nyie mumsahau.Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Labda rais agombeeMdeee harud bungeni wewe Kama hujui
Mmelipwa ngapi ngapi na mheshimiwa balozi mpaka mmeamua kufanya kazi ya ukuwadi wa kisiasaKimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Tusimsahau na Balozi Wilson Mashingilingi hasa ikizingatiwa Mh Lwakatare amekiri kustaafu jimboniKimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Pale Bukoba mjini kuna wagombea wengi, W. Masilingi in wa Muleba lakini hawezi tia pua maana amezubaisha maendeleo.Tusimsahau na Balozi Wilson Mashingilingi hasa ikizingatiwa Mh Lwakatare amekiri kustaafu jimboni
Naona baada ya kumtumia kama toilet paper mmeamua kumdhalilisha sasa kama Wasira. Zamu hii mnataka avuliwe nguo na 'Sauti ya Zege'Kimsingi Johnthebaptist na mzee Mgaya tumekubaliana kumchukulia fomu ya kugombea ubunge wa Kawe mpambanaji wa ufisadi Dr Slaa.
Kwa sasa Dr Slaa ni balozi wetu pale Sweden lakini tutamrejesha nyumbani kama ilivyokuwa kwa Dr Pius Ngwandu aliyeachia ubalozi wa Japan na kuja kugombea ubunge huko Shinyanga miaka ile.
Niendelee kuwatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!