Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Kama ni kweli basi naamini wanawake wana huruma sana yule mzee akiongea domo linatema mimate lakini kwa ajali ya mpunga demu amechanulishwa miguu
Mkuu usipingane na uumbaji wa Mungu. Manzi kamegwa kisera tu pale. Anajua kupata connection ni easy so kiutanani utani wamejikula
 
Hahahhaha dah haya maneno nadhani presha ya Nikki huyo iko Mia tisini na kendaaa

Hahahaha haya mambo yasikie kwa jirani aisee usiombe yakukute...katika kosa alilolifanya Niki 11 ni kumtangaza tanga mke wake na wengi walidhani ana waringishia na walikuwa wanaumizwa!

Kwa hiyo wakasubiri sasa wakasubiri mzee wa moja kenda miatisa hamsini na kenda apate pasi sasa ndio imekuwa msiba kabisa aiseee
 
Eti mzee kaenda nae nje ya nchi kufanya matusi, jamani watu, hivi baba zuri hajatoa tamko lolote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…