Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Hahahaha mzee anakwambia hii papuchi itaendelea kuwa tamu miaka elfu 3 mia kendaaaa na kendaaaaaaaaa!
Hivi hii ishu ilikuaje make naisoma juu juu, natamani warumi anisimulie kinagaubaga, ilikuaje hadi akasafiri nae nje ya nchi? Baba zuri hakuona kama kuna kamchezo hakako sawa?!!!

Nasikia mzee yuko njema bao kendaaaa yani
 
kuna makosa mengi wanaume (hata wanawake) tunafanya katika kuchagua wenza, lakin kosa la kuangalia uzuri zaid nadhan ndo kosa kubwa zaidi. wanaume tunajijua ubinafs na wivu wetu kwa mke kuliko hata wivu mkuu wa Mungu kwa mwanadam dhidi ya miungu wengine, bado unaoa mke kila mtu anageukia. unaoza moyo taratibu. unakosa aman ya ndan kisa misifa ya kijamii. labda ufanikiwe kumshusha bei nafsin mana asilimia kubwa ya uzuri iko kichwan mwako, si kwa mhusika! nadhan kuoa rafik yako ndo jambo muhim zaid. na huwez kuwa na urafik na mpuuzi, pumbavu au jinga. wanawake wazuri kupita ukawaida hawajawai kujua kwanini wanaume smart hawawahitaji kwa matumizi ya kindoa licha kwa matumizi mengine wanafaa mno! siri ni kuwa wanaume wengi hawajiamin na hawapendi ligi ya umilikaji. warembo msihangaike kusali sana kwa hili. si kosa lenu. haliwahusu.
 
Hivi hii ishu ilikuaje make naisoma juu juu, natamani warumi anisimulie kinagaubaga, ilikuaje hadi akafiri nae nje ya nchi? Baba zuri hakuona kama kuna kamchezo hakako sawa?!!!

Nasikia mzee yuko njema bao kendaaaa yani
download.jpeg
 
kuna makosa mengi wanaume (hata wanawake) tunafanya katika kuchagua wenza, lakin kosa la kuangalia uzuri zaid nadhan ndo kosa kubwa zaidi. wanaume tunajijua ubinafs na wivu wetu kwa mke kuliko hata wivu mkuu wa Mungu kwa mwanadam dhidi ya miungu wengine, bado unaoa mke kila mtu anageukia. unaoza moyo taratibu. unakosa aman ya ndan kisa misifa ya kijamii. labda ufanikiwe kumshusha bei nafsin mana asilimia kubwa ya uzuri iko kichwan mwako, si kwa mhusika! nadhan kuoa rafik yako ndo jambo muhim zaid. na huwez kuwa na urafik na mpuuzi, pumbavu au jinga. wanawake wazuri kupita ukawaida hawajawai kujua kwanini wanaume smart hawawahitaji kwa matumizi ya kindoa licha kwa matumizi mengine wanafaa mno! siri ni kuwa wanaume wengi hawajiamin na hawapendi ligi ya umilikaji. warembo msihangaike kusali sana kwa hili. si kosa lenu. haliwahusu.
Bwana weeeeh maisha yenyewe mafupi haya, pata kitu roho inapenda yani uache kuoa mtu mzuri kisa unaogopa watu watamwangalia????

Ndio nyie mnajibana bana unaoa mwanamke hana viwango unavyotaka unaishia kumuweka tu ndani kama kochi unaanza kuhangaika nje kusumbua wake za wenzio.

Jipe kitu kizuri, kama wapenda cheupe tafuta cheupe kweli, kama wapenda wowowo chagua mwenye wowowo.
 
Bwana weeeeh maisha yenyewe mafupi haya, pata kitu roho inapenda yani uache kuoa mtu mzuri kisa unaogopa watu watamwangalia????

Ndio nyie mnajibana bana unaoa mwanamke hana viwango unavyotaka unaishia kumuweka tu ndani kama kochi unaanza kuhangaika nje kusumbua wake za wenzio.

Jipe kitu kizuri, kama wapenda cheupe tafuta cheupe kweli, kama wapenda wowowo chagua mwenye wowowo.
mdau unaongelea mke au mwanamke? mke nijuavyo sifa kuu ni awe rafiki yako. labda kama unapenda mke wa kutumia na si kuishi nae. lakin kuhusu uzur nilimaanisha wewe mhusika kuuona uzuri huo ni zaid ya kawaida. na "kawaida" si kawaida kuwa kawaida sawa kwa wanaume wote.
 
Bwana weeeeh maisha yenyewe mafupi haya, pata kitu roho inapenda yani uache kuoa mtu mzuri kisa unaogopa watu watamwangalia????

Ndio nyie mnajibana bana unaoa mwanamke hana viwango unavyotaka unaishia kumuweka tu ndani kama kochi unaanza kuhangaika nje kusumbua wake za wenzio.

Jipe kitu kizuri, kama wapenda cheupe tafuta cheupe kweli, kama wapenda wowowo chagua mwenye wowowo.
Siwezi kuogopa kuwa na pisi kali kisa kugongewa.. sijamkuta Bikra na hajanikuta Bikra. Kikubwa heshima
 
Back
Top Bottom