The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Sasa houni kama yeye ndo analingishia wacha mabaharia!!!!Ndiyo tabia zenu fisiem kuangalia wake wa wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa houni kama yeye ndo analingishia wacha mabaharia!!!!Ndiyo tabia zenu fisiem kuangalia wake wa wenzako
Mbona huyo manzi ni wa kawaida. Mapenzi ni aina fulani ya uchizi mwacheni afanye anavyotaka ila masela tunamcheki tu.Ni wivu tuu huo mkuu, kila mtu ana haki ya kupenda alipopenda kwa hisia zozote atazotumia, mbona hujiulizi nyimbo za duniani 80% ni za mapenzi kuliko za aina nyingine, hayo mapenzi tu mkuu sio ufala,
Hivi huko tz hamlali?? Saiv ni saa ngp huko
Mkeo alikupiga mzinga nini [emoji3][emoji3][emoji3]Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.
Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
Utoto huoushauri kwa Nikki jitahidi uishi na mkeo in a private life....usipende kumuanika kwenye public limelight....mabazazi kama akina sie tukimtaka hatumkosi....that is a fact....na tukipita nae anakukimbia saa nne asubuhi....
Niwie radhi katika hili, ila sidhani kama ni ya KALE kama unavyofikiri.Hapana.
Sina maana hiyo.Wivu unakuja pale unapoyataja maovu ya kale ya bidada.
Kwa kuwa kafanya mabaya sana hastahili kupendwa na kupostiwa?
hahahah mule mule, hasa mwanamke mzuri anaependa kuzurura ni hatari sana.😂😂😂Kaongea uongo, wanaume wenye wanawake wenye wanawake wazuri zaidi wanakuwa na maisha ya wasi wasi sana
lazma atafyatuka halafu mwanamke ukimuonesha unampenda sana ndio kiburi huchipukia hapo.Mtu kama huyu siku akiligwa kibuti utasikia kajinyonga[emoji23]
Aisee hapana kwa hali hii sitaweza, kumbe wewe mke wa kila mtu bana.Bebi siamini hayo maneno unayatoa wewe
Kakuambia nani baby mbona unataka kunifanya nisilaleAisee hapana kwa hali hii sitaweza, kumbe wewe mke wa kila mtu bana.
Unatoa pasi za upendo kwa kila raia hadi sio poa, raha ya mke awe exclusive. Hebu malizana na hao jamaa zako kwanzaKakuambia nani baby mbona unataka kunifanya nisilale
[emoji3] eti natoa pasi za upendo....umenifanya nicheke wakati nilikuwa nalia. Sawa babe nitamalizana nao ila usiniache, wajua siwezi kukaa mbali na wewe hata kwa dakika 5Unatoa pasi za upendo kwa kila raia hadi sio poa, raha ya mke awe exclusive. Hebu malizana na hao jamaa zako kwanza
😂 usilie banaa...naelewa but fanyia kaz hilo nilokwambia mpenzi.[emoji3] eti natoa pasi za upendo....umenifanya nicheke wakati nilikuwa nalia. Sawa babe nitamalizana nao ila usiniache, wajua siwezi kukaa mbali na wewe hata kwa dakika 5
Sawa mpenzi[emoji23] usilie banaa...naelewa but fanyia kaz hilo nilokwambia mpenzi.
Hii ndio tabu yakuwa na mpenzi mzuri sasa. Kila mtu anatesti mitambo tu shida huja kuwa sio kila anaemuita mpenzi atamuacha salamaWatu kama Khantwe wanaenza kukufanya ukajitoa uhai kumbe hamna hata kinachoendelea katika hao wanaoitwa wapenzi, relax [emoji23]