ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ngoja tumuonjee kidogo....ndio atajua hajuiTunamshauri tuu awe makini...mke hasifiwi mtandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tumuonjee kidogo....ndio atajua hajuiTunamshauri tuu awe makini...mke hasifiwi mtandaoni
UmamaHe is in love. Just let him.enjoys his life. He is doing the right thing. U dont expect a guy who is in luv to do less than what Nikki2 is doing to his gyal
Acha umama dogo,hatushangai kupenda tunashangaa kuweka maisha ya kupenda publicNi wivu tuu huo mkuu, kila mtu ana haki ya kupenda alipopenda kwa hisia zozote atazotumia, mbona hujiulizi nyimbo za duniani 80% ni za mapenzi kuliko za aina nyingine, hayo mapenzi tu mkuu sio ufala,
Na awe anajipostia inbox mwenyeweBinadamu hata ukiogolea watasema unawatimulia vumbi. Mwacheni, kamtafuta mwenyewe, yuko nae mwenyewe na siku akiachwa ataumia mwenyewe.
Kana kwamba ni kosa au nini, maana kaandika kwenye page yake wala sio kwenye page ya news na hajamtagi mtu mwingine asiyehusika na hiyo post, so NYIE mliomfollow kama kondoo wake mnatakiwa mfurahie kila anachopost, km hampendi mwambieni asikie au asome ili iwe na effect sasa kumdiskasi humu hakujengi kituAcha umama dogo,hatushangai kupenda tunashangaa kuweka maisha ya kupenda public
Mkimfollow mnamsoma, msipomfollow hamtaona post, so suluhisho ni ku-unfollowNa awe anajipostia inbox mwenyewe
akiposti yeye ni shoga kwa sababu tumemfollow na ni kondoo wake ,tunatakiwa pia tufurahie? Unautoto mwingiKana kwamba ni kosa au nini, maana kaandika kwenye page yake wala sio kwenye page ya news na hajamtagi mtu mwingine asiyehusika na hiyo post, so NYIE mliomfollow kama kondoo wake mnatakiwa mfurahie kila anachopost, km hampendi mwambieni asikie au asome ili iwe na effect sasa kumdiskasi humu hakujengi kitu
Mimi wala siwez kushangilia wala kushangaa anachopost maana km nikiwa nimemfollow inamaana nahitaji kumsikiliza na kuona anachofanya kupitia mtandaoni, so unakuwa mfuasi wake kwa namna moja au nyingine, bisha au ukatae ukimfollow mtu unamaanisha kuwa unahitaji uone na usikie anachokifanya maishani mwake lasivyo ungekuwa hujali kitu usingemfollow in the first place, so kuumia kwako au kushangilia kwako doesnt mean a thing kwasababu ataendelea kupost ili usome au uchukie na roho yako ili siku iendeakiposti yeye ni shoga kwa sababu tumemfollow na ni kondoo wake ,tunatakiwa pia tufurahie? Unautoto mwingi
Hujalazimishwa kuangalia, tumia function ya blockNa awe anajipostia inbox mwenyewe
Ndio utamu wa mapenzi huo
Mfano we ni follower wa babako ,je unakubali kila tabia zake ?narudia unakoseaMimi wala siwez kushangilia wala kushangaa anachopost maana km nikiwa nimemfollow inamaana nahitaji kumsikiliza na kuona anachofanya kupitia mtandaoni, so unakuwa mfuasi wake kwa namna moja au nyingine, bisha au ukatae ukimfollow mtu unamaanisha kuwa unahitaji uone na usikie anachokifanya maishani mwake lasivyo ungekuwa hujali kitu usingemfollow in the first place, so kuumia kwako au kushangilia kwako doesnt mean a thing kwasababu ataendelea kupost ili usome au uchukie na roho yako ili siku iende
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni sawa na kulima miwa kwenye eneo la shule ya msingi
Kaongea uongo, wanaume wenye wanawake wenye wanawake wazuri zaidi wanakuwa na maisha ya wasi wasi sana
He is in love. Just let him.enjoys his life. He is doing the right thing. U dont expect a guy who is in luv to do less than what Nikki2 is doing to his gyal