Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Maajabu gani mnataka, huyo ni binadamu tu km wewe lakini kashafanya maajabu yanayofanywa na kila mwanamke duniani...kazaa mtoto...ndo maajabu yake hayo, maajabu mengine wamebarikiwa mitume na manabii, wakuu mna wivu hata kwenye maisha ya ndani ya wengine

We nae mshamba tuu kama huyo jamaa, hata kichaa anazaa na hamna maajabu yoyote hapo
 
Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.

Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
 
Ndio maana wanawake wazuri huwa hawatoki na watu wenye mvuto wa kawaida. Huyu demu mzuri na anamvuto sana kingono, huyo Nick wa pili naona hajawahi gonga demu mzuri ndio maana kuchwa kusifia na kupost upuuzi utadhani huyu demu ndie kamtoa bikra
 
Kwan kuna mwanamke uliyewah kumwona ww ana maajabu, au madem ulionao ww wana maajabu yoyote?

Sijawahi kumuona mwanamke mwenye maajabu, nawashangaa tuu na kufurahia wenye makalio makubwa na chuchu konzi, ila nnavutiva na vi model hawa ndio nnatamani, zaidi ya hivi sijawahi kuona maajabu ya mwanamke
 
Maajabu gani mnataka, huyo ni binadamu tu km wewe lakini kashafanya maajabu yanayofanywa na kila mwanamke duniani...kazaa mtoto...ndo maajabu yake hayo, maajabu mengine wamebarikiwa mitume na manabii, wakuu mna wivu hata kwenye maisha ya ndani ya wengine
Kuzaa nayo unaona ni maajabu, mm nafuga mbwa, mbuzi na wanazaa wala sioni ajabu lolote, labda ajabu kidogo lipo kwa kuku kutaga yai likipata joto siku 21 linageuka kifaranga. Huyu Jamaa mashamba kiwango cha lami
 
Back
Top Bottom