Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Kweli sikuizi akuna wanaume kuna wanaume wa dar wale waliomliza jumanature mpka wakamsaidiia kuandika albamu ya ugali wameenda wapi? Jamani machalii wa mere Pesa ya tanzanite imekata au km ipo fungeni uyu mtoto mdomo ndio atajua biblia ilimaanisha nini? Kusema tuishi na hao viumbe kwa akili maana ni wajanja km nyoka!!! Nature na vurugu zake za temeke walimkalisha chini sasa wew jidai msomi na darasani ulikua unaingia na pen tu ata scientific calculator ujui kuiwasha ukipokonywa tonge km wenzako ndio utajua habar ya hawa viumbe na upuuzi unao post.
 
Kweli sikuizi akuna wanaume kuna wanaume wa dar wale waliomliza jumanature mpka wakamsaidiia kuandika albamu ya ugali wameenda wapi? Jamani machalii wa mere Pesa ya tanzanite imekata au km ipo fungeni uyu mtoto mdomo ndio atajua biblia ilimaanisha nini? Kusema tuishi na hao viumbe kwa akili maana ni wajanja km nyoka!!! Nature na vurugu zake za temeke walimkalisha chini sasa wew jidai msomi na darasani ulikua unaingia na pen tu ata scientific calculator ujui kuiwasha ukipokonywa tonge km wenzako ndio utajua habar ya hawa viumbe na upuuzi unao post.
Tunasubiri amalize kunyonyesha
 
Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.

Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
Kweli mkuu sikupingi, ukiwa nademu mwenye akili kubwa unahisi raha kila mara
 
Agiza kinywaji ukipendacho mkuu
Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.

Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
 
Mwanamke mvuto unaisha Hilo la kwanza la pili Mwanamke akiwa na mvuto halafu anadharau hisia za ngono zinaisha kabisaaa yaani,a matter of time tu.

Napenda sana mwanamke mwenye akili ya mambo zinanihamasisha hata kumtamani kimapenzi.Tufanye hivi mambo yanaenda,unamuelekeza kitu anafanya kwa ustadi, hapo nyumbani mambo yanakaa sawa hata ukisafiri mwezi mzima unakuta pesa imetumiwa vizuri,watoto wamenawiri.Sio umeacha laki 5 kwa mkeo awape mafundi wakija,mafundi wamechelewa kidogo tu kesha punguza kaenda kufanya mambo yake hapo umesisitiza balaa.Sasa unajiuliza huyu hajui umuhimu wa hii pesa???mbona nishaongea nae,ukiuliza umenuniwa,Khaaaa.
Kua na mke mpk kuna mda ukimuwaza unasikia raha tu kuna watu wanafaidi jamani uzuri sawa ni muhimu kwa kiasi chake lakini Mwanamke mwerevu Ni baraka kwenye familia.
Kabisa.
 
Nikki aambiwe ukweli, kwanza mke hatangazwi kwenye mitandao, kwa mfano nikiwa na kisu kikali nikaamua kula nyama ninamkula tuu mke wa nikki, atabaki na mashairi mke wake atabaki na shillings

Tukubaliane nikkiwapili kashakuwa fala
 
Back
Top Bottom