Amazon Woman
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 796
- 1,187
Kaskazini nzima hatuna mwanamme km Nikki. Ni yeye tuu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swala la muda tu,,Hahaha, Mkuu soma comments za wadau, wanalalamika tu, hawachukui maamuzi magumu, sie soldiers huwa tunapenda action sio kulalama tu
Hope Mkuu utalifanyia kazi wazo langu
Hahaa hah au ile simu ilishikwa na shemela akapost yeye,Nikki aambiwe ukweli, kwanza mke hatangazwi kwenye mitandao, kwa mfano nikiwa na kisu kikali nikaamua kula nyama ninamkula tuu mke wa nikki, atabaki na mashairi mke wake atabaki na shillings
Tukubaliane nikkiwapili kashakuwa fala
Hahahaha ,mtoto muzuri hawekwi wekwi hovyoNi swala la muda tu,,
Kuna kipindi nae G Nako alikuwa anatoka na mrembo mmoja ivi, sijui waliishia wapi?
HahahaHahahaha ,mtoto muzuri hawekwi wekwi hovyo
MTC | 101| [emoji769]
Hivi Joh Makini hanaga mwanamke? Huyu Nikki ni aibu kwa wanaume wa Arusha
Jamaa kapenda aisee! Acha afurahie MaishaHahahaha ,mtoto muzuri hawekwi wekwi hovyo
MTC | 101| [emoji769]
Hahahaha, kweli kapenda ,haki yakeJamaa kapenda aisee! Acha afurahie Maisha
Wanawake wenye maumbo yanayoitwa mazuri wanafaa kwa matumizi ya usiku mmoja,