Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mkuu huko ishu ilikandamizwa na mwingine sio majalalaIgesa Rd Ni Kama nilishawahi kupita. Wamefanya ukarabati karibuni. PhD inaenda kudhalilishwa uswazi daah
Wacha weeeee, yani unahama mkoa wako kisa mvua inanyesha?? Wapi huko unataka kukimbilia ambako hakuna mvua?Mh kasamehe au kapiga chini?
Palamagamba.Kwani mama zuri kaliwa na muzee ya wapi tena
Palamagamba kabudi kachakata Sana papuchi za watoto wa UDSM , nahs hata manzi yangu alikula yule mwambaNdio maana anasema baba ni just social fathers.
Usihangaike kujua kama mtoto ni wako au siyo wako.
Kumbe anajijua yeye mwenyewe ni mkali wa hizo kazi.
Hapo UD wanafunzi walipona kweli.
Vistaz Lodge ipo France?Duuh kwamba mke wa nikki kagongewa uwanja wa Ugenini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu amtie Nguvu nikki maana hii ni balaa
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Mzee wa mikakati ulikua unauza popcorn 🍿 Cinemax nini??Nilikuwa nakaa sana mlimani city, huyo demu kipindi anasoma Niki wa 2, alikuwa namleta movie.. kila wiki na kuja nae mala kibao.. kuna miamba wakasema huyu dogo ngoja tuanze kumpigia mbona analeta mambo ya kishamba... na wale watu sio wepesi.. 😀😀😀😀.. naamini alianza kupigiwa kipindi kile na sasa hivi anapigiwa na ataendelea kupigiwa.. uzuri haina alama.. na mie nipo kwenye foleni 🐒🐵🦧
Wistaz chalet lodge -Sinza[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ukishonewa vumilia ng'ang'ana na mtu wako?Wacha weeeee, yani unahama mkoa wako kisa mvua inanyesha?? Wapi huko unataka kukimbilia ambako hakuna mvua?
He is in love. Just let him.enjoys his life. He is doing the right thing. U dont expect a guy who is in luv to do less than what Nikki2 is doing to his gyal
Samehe maisha yaendelee, hata ukimuacha ukimpata mwingine atafakamiwa tuuuuuu.....Kwahiyo ukishonewa vumilia ng'ang'ana na mtu wako?
Shost hebu tupe ubuyu ilikuaje, kwanza za msibani kaka mkubwa!!!Ushamba tu na ulimbukeni
Hahaha unaonekana una busara sana.Samehe maisha yaendelee, hata ukimuacha ukimpata mwingine atafakamiwa tuuuuuu.....
Labda uamue kujitenga na papuchi miaka mia kendaaaa
Kuna vitu inabidi tu viwe hivo, mimi kama mimi siwezi kumuacha my wangu eti kisa kanichiti yani achiti hadi kidudu kipungue simuachi....labda niwe na sababu nyingine.Hahaha unaonekana una busara sana.
Bahati mbaya level yako ya busara ili mwanaume aifikie anahitaji vitu vingi na wengi hatuna.
Abarikiwe jamaa kwa kuipata hii 'Free Pass' hope na yeye amekupatia 'Free Pass'Kuna vitu inabidi tu viwe hivo, mimi kama mimi siwezi kumuacha my wangu eti kisa kanichiti yani achiti hadi kidudu kipungue simuachi....labda niwe na sababu nyingine.
Kuna vitu inabidi tu viwe hivo, mimi kama mimi siwezi kumuacha my wangu eti kisa kanichiti yani achiti hadi kidudu kipungue simuachi....labda niwe na sababu nyingine.
Hata kama huna pesa usiwe na wenge la kupost post mkeo. UNAPOST POST NA CAPTION CAPTION ZA MKEO ZA NN? ILI NN?Nikki alikuwa mshamba sana kwenye hii sekta, Sasa naona kapata somo. Dem mkali yake pesa kama huna unatafuta presha na magonjwa mengine ya uzeeni!
Nikki alistahili hii punishmentKuna vitu inabidi tu viwe hivo, mimi kama mimi siwezi kumuacha my wangu eti kisa kanichiti yani achiti hadi kidudu kipungue simuachi....labda niwe na sababu nyingine.
Hio inaitwa insurance policy, mtu huna majala na unajua kabisa mtoto anakutana na vibopa vinamtolea macho huko nje, utafanyaje? . Ndo inabidi kila wasaa ujiwekee insurance walau awe anakumbuka kutunza heshma vinginevyo utafanyiwa kama janjaro.Hata kama huna pesa usiwe na wenge la kupost post mkeo. UNAPOST POST NA CAPTION CAPTION ZA MKEO ZA NN? ILI NN?
Wakati mwingine watu wanamweshimu mkeo sababu wanakuheshimu na si vinginevyo. Ss kama huheshimiki na una sifa za kijinga ndo anakuwa tamu ya wazalendo.