Tena namsubir kwa hamu sana, nimemchokonoa IG hajajibu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpe vidonge vyake akirudi Tena shughulika nae
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mbna wengi tunajua kua huyu Countrywide ni DC Nick, afu tangu zaman.Aisee cocastic nimeamini pasina kuacha shaka kbsa kuwa huyu unayebishana nae humu bwana Countrywide ndie Niki mwenyewe haswaa
Nimejuaje nilienda kwenye nyuz zake nikakuta kajifungulia Uzi mwenyewe kajipigia mapande matupu na Mara nyingi amekuwa akiwananga Sana chadema
Aloo nimekufulia kofia mpe za uso
Alisema hatak Kaz leo hi yupo kazini Tena ya kulamba viatu kbsaa Mbna hakukataa
Kwa kifupi Sanaa bwana huyu Ni mpuuzi tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani vija wa UVCCM wakoje? 😆😆😆😆👆🏿👆🏿👆🏿Basi alikuwa na umalaya wa kiwango cha juu sana, aliliwa hadi na kijana wa UVCCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Arriff nimecheka balaaaDaaah bongo kuna roho za kichawi sana, ndiomaana huwezi kitoboa kizembezembe ukiwa bongo.
Fikiria haya ni mapenzi tu, kitu ambacho hata mbwa wanafanya, vipi kwenye maswala ya kiuchumi?
Siyo kijana bali vijana wa UVCCMWameachana kisa mwenye mapenee, wee vaccay Dubenga mchezoo, ila ndo waja wanasema bidada ni chupi mkononi had kijana wa UVCCM kamvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nielekeza huko chimbo na mm niendeKwa huyu wa UVCCM mwenyewe niligomaa, lakini watu walivyo nipopoa kule chimboo khaaah.
Hata sahv siamini hata.
Nikki ni humble guy, hawezi kuwa huyo jamaa.Mbna wengi tunajua kua huyu Countrywide ni DC Nick, afu tangu zaman.
Yeye mda wote kuinanga chadema na kumnanga Lissu, anasahau kushughurika na Joan wakee, wajanja wakamnyakua nyakuuuuu,. Sahivi atapata akili na atatuliza kichwa chake kile km chenza changa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Countrywide njoo huku wee DC ofisini had sahivi? Hupati lunch?
Hilo nalo la kuuliza?Nina mashaka na hyo CPA yake pengine Ni ya mchongo hi nchi Ina mambo mengi sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mi mwenyewe namsubiri ajichanganye,akijichanganya nistueTena namsubir kwa hamu sana, nimemchokonoa IG hajajibu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuona kwamba wao mapenzi wanayajua kuliko ss wasomaji wa post zao..wakitendwa wanakuwa motivational speaker 2a ndoa na mahusiano...bora madam speaker aliyeamua kuiweka mbali familia yake mitandao sio wanae wala mumewe aliona mbali mnyaki yule..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sio mrama
Shida ni pale muhusika anapoweka mambo yake public ndo anawafanya watu wamfatilie na kumtolea unabii kedekede,
Mi mbona ninao Kama hao wawili na wala sijafaa kwa pressure!!?Mwanamke kama huyu ukimuweka awe mkeo unaweza kufa kwa presha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo kijana bali vijana wa UVCCM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lete kiingilio.Nielekeza huko chimbo na mm niende
Nick yupi?? Huyu huyu wa kujimwambafy? Labda humjui Nick wee.Nikki ni humble guy, hawezi kuwa huyo jamaa.
Yaan kakimbia mazima, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mwenyewe namsubiri ajichanganye,akijichanganya nistue
Mume wake aliwahi kuonekana nae mara 1.Nakuona kwamba wao mapenzi wanayajua kuliko ss wasomaji wa post zao..wakitendwa wanakuwa motivational speaker 2a ndoa na mahusiano...bora madam speaker aliyeamua kuiweka mbali familia yake mitandao sio wanae wala mumewe aliona mbali mnyaki yule..
Daah watu wachawi aiseeMabaharia yupo njiani tumesikia anamwanamke mzuri.Itafika siku tu atajua kwamba hajui ndio atakumbuka jojo ana miaka 39.