Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha demu alikuwa bado hajaijua Hela vizuri
Ulikuwa utabili tosha
Vijana wa uvccm lini hio. DuuuWameachana kisa mwenye mapenee, wee vaccay Dubenga mchezoo, ila ndo waja wanasema bidada ni chupi mkononi had kijana wa UVCCM kamvua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada punguza povu daa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpumbavu ni wee uliyeachwaa, mie maskini nna furaha na amani na sijaachwa, wee tajiri mbna Joan kakubwagaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nick unalo hili Kaka weee.
Ebu kuweni serious na maisha wadau.Utapoteaje kisa mwanamke
Tayari mkuuKweli sikuizi akuna wanaume kuna wanaume wa dar wale waliomliza jumanature mpka wakamsaidiia kuandika albamu ya ugali wameenda wapi? Jamani machalii wa mere Pesa ya tanzanite imekata au km ipo fungeni uyu mtoto mdomo ndio atajua biblia ilimaanisha nini? Kusema tuishi na hao viumbe kwa akili maana ni wajanja km nyoka!!! Nature na vurugu zake za temeke walimkalisha chini sasa wew jidai msomi na darasani ulikua unaingia na pen tu ata scientific calculator ujui kuiwasha ukipokonywa tonge km wenzako ndio utajua habar ya hawa viumbe na upuuzi unao post.
Tayari kkNikki aambiwe ukweli, kwanza mke hatangazwi kwenye mitandao, kwa mfano nikiwa na kisu kikali nikaamua kula nyama ninamkula tuu mke wa nikki, atabaki na mashairi mke wake atabaki na shillings
Tukubaliane nikkiwapili kashakuwa fala
Na ndiyo wanaoongoza kwa msongo wa mawazo kwa kuchapiwa.
🤣 Vipi ushauri wake unaendeleaje huko alipo, furaha bado ipo au 🤣
Hahahahahah kumbe hips wahuni wameishi nazo long faka kitambo 🤣 sema nilijua ipo siku dogo Nikki atalia tu. Yametimia, huwezi kufuga malaya utachemka tu.1. Kabla ya jamaa alikuaga na dogo mmoja Mtoto wa Mama hv alikua anasoma CBE ( dogo alikua mtu WA kulia kila kitu Mama).
2. Baadae Bibie kajichanganya kwenye zile semina za mchongo za Ruge za fursa ndo Mnyambisi akazimia hips bila kutafakari akaingia mzobe-mzobe, huyoo mkuku mpaka Tabata -anapoishi Baba yake binti (Mzee Chapombe tu) kumvisha Pete na kuzaa nae.
3. Muda wote Wahuni wametulia wanamchek mluga Luga na speed zake.
NB: Prof alikaa hapo kitambo, ikiwemo Ile safari ya Paris.
Nyie watoto washenz sanaTayari yametimia...
Watu washampakaa mafuta ya upako
Daaah ushenzi gani mkuubwa wangu?Nyie watoto washenz sana
Kaka una maneno makali sanaHahahahahah kumbe hips wahuni wameishi nazo long faka kitambo [emoji1787] sema nilijua ipo siku dogo Nikki atalia tu. Yametimia, huwezi kufuga malaya utachemka tu.
Mmetombeer DcDaaah ushenzi gani mkuubwa wangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nick hanisumbui huyuu hata. Natembea vile yeye anataka.Naona unaenda naye sawa, akiweka jiwe unaweka ugoko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatareeeee, ningemaliza na sonyoooo.Yaani ulivyoandik ndo mmepata picha unaongea sasaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Si mnasema watu waoane wa kabila moja. Imekuwaje tena kwa bwana DcKumbe mwanamke ni Mchaga?!
Halafu ni wa kawaida sana tu !