Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Kweli sikuizi akuna wanaume kuna wanaume wa dar wale waliomliza jumanature mpka wakamsaidiia kuandika albamu ya ugali wameenda wapi? Jamani machalii wa mere Pesa ya tanzanite imekata au km ipo fungeni uyu mtoto mdomo ndio atajua biblia ilimaanisha nini? Kusema tuishi na hao viumbe kwa akili maana ni wajanja km nyoka!!! Nature na vurugu zake za temeke walimkalisha chini sasa wew jidai msomi na darasani ulikua unaingia na pen tu ata scientific calculator ujui kuiwasha ukipokonywa tonge km wenzako ndio utajua habar ya hawa viumbe na upuuzi unao post.
Tayari mkuu
 
1. Kabla ya jamaa alikuaga na dogo mmoja Mtoto wa Mama hv alikua anasoma CBE ( dogo alikua mtu WA kulia kila kitu Mama).

2. Baadae Bibie kajichanganya kwenye zile semina za mchongo za Ruge za fursa ndo Mnyambisi akazimia hips bila kutafakari akaingia mzobe-mzobe, huyoo mkuku mpaka Tabata -anapoishi Baba yake binti (Mzee Chapombe tu) kumvisha Pete na kuzaa nae.

3. Muda wote Wahuni wametulia wanamchek mluga Luga na speed zake.

NB: Prof alikaa hapo kitambo, ikiwemo Ile safari ya Paris.
Hahahahahah kumbe hips wahuni wameishi nazo long faka kitambo 🤣 sema nilijua ipo siku dogo Nikki atalia tu. Yametimia, huwezi kufuga malaya utachemka tu.
 
Back
Top Bottom