Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Boy friend wako huwa anakaa kimya sana watu wakianza kuzungumzia Stock exchange,economy investment na financial planning—Anagonja topic ya man united na mademu walio na makalio makubwa.
BF wangu yupi? Huyu wa ukweli nlokua nae, au Una maanisha huyu Nick??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muhurumieni mwenzenu khaaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee Nick mie nikutake wa nn?? Joan amekuacha ndo utaniweza mie? Poleeeeh kwa kuachwaaa. Futa machozi na unywe maji mengi.

Yakizidi muone daktariiii.
Wewe una Nini usijukweze na kuumiza watu humu na fake id. Unamuumiza jamaa kwanini kwa kumsema vibaya? Mbona wewe ni wa kawaida Wala huna uzuri Wala quality unayojisifia nayo humu? Zile picha zako za kule jukwaa la kuweka selfies Bado ninazo. Nenda taratibu na wenzio humu majukwaani. Usinyanyase na kudharirisha wenzio bila sababu kwa kujiona wewe ni bora na wa thamani.

Humtendei haki huyu mwenzio. Unawafanya na kuwaumiza wenzio. Ufanyacho sio kizuri.
 
1. Dogo mshamba wa mapenzi. Na Kwa haraka-haraka binti Ni smart kuliko jamaa
2....
Yaani mie Huwa nawashangaa sana wanaojiita wasanii hasa wakiume walivyo wajinga..

Mbona mtaani Kuna mademu wazuri na wakali kuliko hao mnaohangaika nao kwenye social media?

Na Wala hatutumii gharama kubwa.Wanawake wa kwenye mitandao hao maarufu ni Kwa Ajili ya wanaume wenye pesa ambao hawawezi tongoza demu mtaani.

Ni kama.ofisini mademu wa huko ni WA mabosi Kwa vile boss hawezi ingia kitaa akasimamisha mwanamke Kwa sababu za Kulinda status akikataliwa so wanawake zao ni hao mastaa,wa maofisini na Bar..

Mie wanawake wa hivyo sichukui maana kwanza wako kibiashara Kwa kuwa Sina status yeyote kubwa naingia kitaa nasimamisha pisi inakula mistari na inaelewa..

Mnahangaika na hao ngoja wawaonyeshe moto kwanza
 
Wewe una Nini usijukweze na kuumiza watu humu na fake id. Unamuumiza jamaa kwanini kwa kumsema vibaya? Mbona wewe ni wa kawaida Wala huna uzuri Wala quality unayojisifia nayo humu? Zile picha zako za kule jukwaa la kuweka selfies Bado ninazo. Nenda taratibu na wenzio humu majukwaani. Usinyanyase na kudharirisha wenzio bila sababu kwa kujiona wewe ni bora na wa thamani.

Humtendei haki huyu mwenzio. Unawafanya na kuwaumiza wenzio. Ufanyacho sio kizuri.
Sasa mie kuwa wa kawaida na kutokua mzuri inahusu nn hapaa? Km picha zangu uli save na unazoo means umezikubali na zimekubambaaa,

Mie ni pisi kaliiiii, hata wee nikitaka kukupa offer ya nyapu huchomoiiii, etii mie mbayaaa huku picha zangu ziko kwa gallery unapigia nyetoooo mxxxieeeeeew.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huyo Nick ntamtwezaa had baas, ungana nae wee bas niwatweze woteeee. Lol
 
Wewe ndiyo ulimkaribisha mwanaume kwa mama ako then akasanuka kuparamia lidume ukampa nauli buku[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu muulize vizuri yule mtu akuambie.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ningempa laki 1 ya usumbufu kabisaa. Afu kuparamia majamaa mbna sio shda zangu.
 
Moderator
Mnakubali vipi threads za Ina hii zikiendelea hapa na kutweza utu wa mtu? Kwa nn hii thread isifutwe au kufungwa?
Wee Nick kaa kwa kutulia, hadi umebadili names dadekiiiii.
Kweli yamekufikaaa hapaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sweet mangiii kimekukuta kituuuuuu. Uwiiiiiiiiih

Nacheka km mazuriii vileee woiiiiiiih.
 
Back
Top Bottom