Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwanamke sio Billboard..... SEMA TENAAA!!!Alikuwa anajiona yeye mjanja zaidi..kumbe kuna watu walikuwa wana mcheka tu kina ka Budaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwanamke sio Billboard..... SEMA TENAAA!!!Alikuwa anajiona yeye mjanja zaidi..kumbe kuna watu walikuwa wana mcheka tu kina ka Budaaa
Noumaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅 mwanamke sio ubao wa matangazo.. acha dawa imungie.. watu waendelee kumlia vizuri mama zuri kwa uzuri kabisa🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mwanamke sio Billboard..... SEMA TENAAA!!!
Sasa unahisi?? Eeeh usiwe unahisi uwage unatafuta ukweli kwanza.Not 100% , lakini nimesoma baadhi ya comment zake nimeisi atakuwa .
........
Jamaa kafanywa vibaya sababu hata DNA imemkataa kudadadeq😅😅😅 mwanamke sio ubao wa matangazo.. acha dawa imungie.. watu waendelee kumlia vizuri mama zuri kwa uzuri kabisa
Duh!...mnachunguza kila kitu Sasa.Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka
Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Alikuwa ana ivite miamba mwenyewe wamsaidie kufanya matusi.. so atulie tu😅😅Jamaa kafanywa vibaya sababu hata DNA imemkataa kudadadeq
Teh teh teh 😂😂😂 dah!...bongo wachawi na wenye chuki ni wengiDaaah bongo kuna roho za kichawi sana, ndiomaana huwezi kitoboa kizembezembe ukiwa bongo.
Fikiria haya ni mapenzi tu, kitu ambacho hata mbwa wanafanya, vipi kwenye maswala ya kiuchumi?
Sio kweli, mimi nilikuwa darasa la mbele yako pale Eagle wings.Nliishia la 7 C, hata fomu wani siijui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli??Sio kweli, mimi nilikuwa darasa la mbele yako pale Eagle wings.
Sijui hata kama unapataga muda wa kufanya kazi au kupumzika.Kwa Kweli sipendi kumfurahia matatizo yake ila jamaa alikuwa kero Sana Kuna wakta anajiona mwerevu San kulikon vijan walio wengi ,mjuaji na anajisikia Kama Ni mtu special San amshukuru mama kumpa udc vinginevyo Ni siku nyingi tu angemwaga na huyo bint
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahaaaaaaa, haya nimetoka kanisani sasa ila nakushauri tu kwa Nia njema dada, usidharirishe na kutunga uongo kuhusu wengine. Hata kama tuna fake ID ila Karma is real. Kuwa na Jumapili njema.Sasa mie kuwa wa kawaida na kutokua mzuri inahusu nn hapaa? Km picha zangu uli save na unazoo means umezikubali na zimekubambaaa,
Mie ni pisi kaliiiii, hata wee nikitaka kukupa offer ya nyapu huchomoiiii, etii mie mbayaaa huku picha zangu ziko kwa gallery unapigia nyetoooo mxxxieeeeeew.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Nick ntamtwezaa had baas, ungana nae wee bas niwatweze woteeee. Lol
Kweli kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli??
Ndoa bado ipo?
Tunomba hio page mkuu.Ila kuna kitu pia inabid mkuchunguze taratibu Nick pia atakuwa na shida
Kuna page insta zinapostig wadada} cutegurls,universty girls nk} wadada wote wanaopostiwa kwenye hizo page ukiclick kuwaangalia unakuta Nick kawafollow
Yaan nick kafollow wadada wote wanaopostiwa kwenye page zile za kuwatangaza
Iv ye atakuwa katulia kweli? Yawezekana nae ana mengi mpk mwanamke kamchoka
Kila page ya mwanamke utakuta Nick na Dogo janja wamefollow
Sio poaJamaa kafanywa vibaya sababu hata DNA imemkataa kudadadeq
Makubwa tena haya,kweli mke anauma?Kwahiyo @countrywide Sasa hivi baada ya KUCHAPIWA unajiita Woodland [emoji23][emoji23][emoji23]
Id ile ile kabadili jina tuuMwenzenu nick kabadili ID