Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Karma is bitch.Dah huyu mwamba alishachakataga mke wa bro chuoni huyu. Simkubaligi kabisa huyu jamaa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karma is bitch.Dah huyu mwamba alishachakataga mke wa bro chuoni huyu. Simkubaligi kabisa huyu jamaa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Shost c utaletewa magonjwa ya zinaa, ni vyema kukemea Tabia za ku cheat though wanaume ndo walivyo hata ufanye nini wata cheat but ku accept cheating that means umekubal kuwa inferior na to be disrespected
Hao wanafkri ndoa ni kama kucheza kombolelaAnajidanganya sana, tena mtu anaeongea hivi ndio anaishia kuwa kama yule jamaa aliachwa na Hamida
Tufanye kaziTeh chai mkuu
Kazi gani?Tufanye kazi
UchawiKazi gani?
Mi siujui, huo fanya weweUchawi
Kaongea uongo, wanaume wenye wanawake wenye wanawake wazuri zaidi wanakuwa na maisha ya wasi wasi sana
kwahiyo huyo dogo ni ule wimbo pendwa wa franco luambo makiadi Mario nalembieeeeeeeeooooooo kende nayo na bayeyeeeee
Mtoto mzuri sana huyu kwakweli mzee kafaidi.Bao kenda alifaidi sana ...
View attachment 1738402
Duuh! Kama yupo serikalini hapo ni kweli itakuwa alipangwa kwenye msafara kama mnavyojua wanawake wanawatii sana mabosi wao hata kama waume zao wawazuie hizo safari hawawezi kukubali.Kama sio kabundi basi kagongewa na mwingine.. yule demu mzuri alafu jamaa anaturingishia.. acha wampakulie sasa... Ogopa sana mrembo kuajiriwa serikalini.. unakuwa na 50/50
Kwenye hafla ya kitaifa ya kumuaga mwendazake Magufuli Dodoma. Kama haukufuatilia ingia youtube uone,yeye ndo alikuwa mchivi palamaganda aliongea wapi hayo mambo ya Kenda [emoji23][emoji23][emoji23] mbona kama inatrendi kwenye comments
Duuh! Kumbe ni hatari.Dah huyu mwamba alishachakataga mke wa bro chuoni huyu. Simkubaligi kabisa huyu jamaa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Mimi nasubiri nione jinsi atakavo change tune to SSH. Hahahah watu wanafiki wanafaki kama hawa, wakuunga juhudi na bwana ndio mzee, wanapendwa sana na magu.Kabudi ana ufala sana yani, nahisi atakuwa comedian kwa familia yake[emoji16]
[emoji3][emoji3]Prof nilimvulia kofia alivyoenda kufanya ile sinema kule Madagascar, pale ndo nlijua huyu jamaa msanii wa hadhi ya Oscars [emoji23]
Alifanya promo ya kimataifa mkuuJamaa akagonga kwanza ile dawa, ndo akawapelekea NIMR, Kwa kweli kama tuna viongozi wa namna hii we have a long way to go.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Ofisini wanakulana sana ki masihara . Maana mda mwingi mke yupo ja stuff kuliko mume, kwanini moto usi mshukie ?Duuh! Kama yupo serikalini hapo ni kweli itakuwa alipangwa kwenye msafara kama mnavyojua wanawake wanawatii sana mabosi wao hata kama waume zao wawazuie hizo safari hawawezi kukubali.
Kumbe ndio michezo yakeDah huyu mwamba alishachakataga mke wa bro chuoni huyu. Simkubaligi kabisa huyu jamaa
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Dakika sifuri demu anaendesha subaru foresterKumbe ndio michezo yake