Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

Hapana, mi sina neno wala sio inferior kwasababu hata nisipoaccept ipo tu acheat, muhimu asisahau dawa ya penzi (ndom)
Tujikinge magonjwa na watoto wa nje....ila kucheat achiti yani achiti miaka mia kenda binamu
Achana na condom, zina virus
 
Hata kama huna pesa usiwe na wenge la kupost post mkeo. UNAPOST POST NA CAPTION CAPTION ZA MKEO ZA NN? ILI NN?

Wakati mwingine watu wanamweshimu mkeo sababu wanakuheshimu na si vinginevyo. Ss kama huheshimiki na una sifa za kijinga ndo anakuwa tamu ya wazalendo.
Hivi mnamfahamu mke wa Edo kumwembe [emoji1]

Mtu pekee anayekizingatia kipengele Cha kutopost mke huko social media Ni Huyo Jamaa [emoji1][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Jamani eeeh Nikki sahiv msimuingie kizembe
Screenshot_20210330-150345_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom