Tutangulize Uzalendo mbele kwenye mchezo wa Simba Vs Orlando Pirates

Tutangulize Uzalendo mbele kwenye mchezo wa Simba Vs Orlando Pirates

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
naweka silaha chini, kila la heri mnyama mkubwa kesho dhidi ya Orlando Pirates.

Mkipata goli 3 itakuwa advantage kubwa sana kuelekea mchezo wa marudiano na hatua muhimu kuelekea robo fainali.

Wito kwa sisi mashabiki wa Yanga, tujitunze kuwasapoti watani zetu katika hatua hii muhimu, baada ya dakika 90 za mtanange tuendelee kuwatania tu kama watakuwa wamezingua!

Kila la heri Simba Sports Club, wawakilishi wetu wa Kimataifa.
 
naweka silaha chini, kila la heri mnyama mkubwa kesho dhidi ya Orlando Pirates.

Mkipata goli 3 itakuwa advantage kubwa sana kuelekea mchezo wa marudiano na hatua muhimu kuelekea robo fainali.

Wito kwa sisi mashabiki wa Yanga, tujitunze kuwasapoti watani zetu katika hatua hii muhimu, baada ya dakika 90 za mtanange tuendelee kuwatania tu kama watakuwa wamezingua!

Kila la heri Simba Sports Club, wawakilishi wetu wa Kimataifa.
Tatzo unawasapoti kwa nia njia baadae wanakugeuka wanaanza kukutukana🤣🤣🤣🤣
 
naweka silaha chini, kila la heri mnyama mkubwa kesho dhidi ya Orlando Pirates.

Mkipata goli 3 itakuwa advantage kubwa sana kuelekea mchezo wa marudiano na hatua muhimu kuelekea robo fainali.

Wito kwa sisi mashabiki wa Yanga, tujitunze kuwasapoti watani zetu katika hatua hii muhimu, baada ya dakika 90 za mtanange tuendelee kuwatania tu kama watakuwa wamezingua!

Kila la heri Simba Sports Club, wawakilishi wetu wa Kimataifa.
Yanga hawapendi unavyoongea
Mngekuwa wote kama wewe, maana ya uzalendo ingejidhihirisha
 
Tatzo ni matusi yenu.Nakumbuka kuna moja juzi juzi ya kuongia robo fainal niliwaambea kabsa msonge mbele ila kilichonikuta duh
Mkuu , hili tatizo siyo kwa simba tu , hata Yanga ni wale wale. Sijui watanzania tulirogwa na nani!
 
Huu utakuwa unafiki Mimi kuishabikia hata kuiombea Dua Simba ili ishinde!!

Ntaumia wakishinda na ntafurahi wakifungwa. Sijawahi kuiombea mema Simba pamoja na mafanikio yake😀🚶
 
Huu utakuwa unafiki Mimi kuishabikia hata kuiombea Dua Simba ili ishinde!!

Ntaumia wakishinda na ntafurahi wakifungwa. Sijawahi kuiombea mema Simba pamoja na mafanikio yake[emoji3][emoji124]
Kama unaamini Simba SC wana mafaniko kwenye nyanja hizo inatosha sana..!
 
Kama unaamini Simba SC wana mafaniko kwenye nyanja hizo inatosha sana..!
Ndio mkuu mafanikio yapo coz mpira sio ngono upo wazi unaonekana!!, Ila Tz hii yanga kuiombea Simba ushinde mhhhh.....labda ila hapana😀🚶
 
Timu zote za bongo Simba tunahitaji uzalendo kutoka kwao kasoro Yanga tu.

Yanga wananuksi,yani ni nuksi tupu hawa jamaa,wakitusaport tutaanza kupoteza mechi za kimataifa kwa Mkapa kama wanavyopoteza wao na minuksi yao.
alafu huwa wananuka vikwapa',,mmpuuu"
 
Timu zote za bongo Simba tunahitaji uzalendo kutoka kwao kasoro Yanga tu.

Yanga wananuksi,yani ni nuksi tupu hawa jamaa,wakitusaport tutaanza kupoteza mechi za kimataifa kwa Mkapa kama wanavyopoteza wao na minuksi yao.
alafu huwa wananuka vikwapa',,mmpuuu"
Jinsia yako tafadhal umentisha kdg hz kauli
 
Kiukweli Kama tanzania tunataka kufika mbali lazima tuwe wamoja tunapocheza na wageni. Leo hii mashabiki wa Yanga wataizomea Simba Ila Yanga pia imebadilika Sana, huenda msimu ujao ikafanya vizuri kimataifa, mashabiki wa Simba wataizomea pia isifanikiwe.

Invependeza Kama ushabiki wetu ungekua tunakutana kwenye ligi Ila inapokuja kimataifa uzalendo unatakiwa kuwa mbele. Tulizaliwa watanzania kabla ya kuwa shabiki wa Simba au Yanga. Tuuweke mbele utaifa wetu
 
Back
Top Bottom