GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Tundu lisu - Sheria n.kKuna wataalamu gani twiter.??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu lisu - Sheria n.kKuna wataalamu gani twiter.??
Lol huyo tu.Tundu lisu - Sheria n.k
HAKIKA MKUUMzee utangojea sana hizi ni zama za kiongozi anayesikiliza wataalamu sio zama zile za stone age ambapo wataalamu waliitwa kushauriwa na sio kushauri, tunaiona +255 inayotembea na dunia kusonga mbele.
Kweli kabisa, labda walishiriki kumuua JPM, maana alikuwa anataka maendeleo ya wanyonge. Tanzania hata ukijamba utasifiwa! Huyu huyu alituambia JPM mzima kumbe kisha kufa na kupelekwa kwa Mzena hoespital. Na alipokufa maiti yake ikatembezwa kila mahali kutuonyesha kweli amekufa. Lini maiti ikachezewa hivi eti kuagwa, stupidity at the highest level.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.
Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
View attachment 1746417
Umenena kweli jambo suluhisho lako halina mashiko. Ni hivi Uchaguzi ni protokali tu mshindi anajulikana na akishajulikana Regime itaendeswa na mfumo na si vinginevyo.Iko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.
Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
View attachment 1746417
Hutaki rudi kwenu koromitjeIko hivi nyinyi mnaosifu sifu sasa yale afanyayo Samia siku akiwageuka naomba muendelee na kazi yenu.
Haiwezekani Rais hana vision, msimamo na hajui afanye nini.
Yeye kupelekeshwa tu na majadiliano ya mitandaoni.
Aendelee tu ila mwisho wake uko na utakuwa mbaya asipobadili mwendo. Kapoteana.
Na yeye ni zao la Uongozi Dhalimu kama ako na nia ya dhati kuibadilisha Tanzania na aitishe uchaguzi mkuu.
Vinginevyo ajiuzulu.
View attachment 1746417
Si kwetu huko..!Hutaki rudi kwenu koromitje
Mama yuko juu huyoooo..hapana chezea...
Tumemuacha kabisa aupuge mwingi na mwenyewe anasema Rais huwa hakosei.Hizi sio zama za kinjekitile ngwale acha upuuzi mwache mama afanye kazi
Akili yako ni sawa na ya kuku, nenda hone daktari haraka sana.Umenena kweli jambo suluhisho lako halina mashiko. Ni hivi Uchaguzi ni protokali tu mshindi anajulikana na akishajulikana Regime itaendeswa na mfumo na si vinginevyo.
Magufuli akitaka kufanikiwa kuchochora njia yake nje ya kuendeshwa na mfumo na ndipo alipojitengenezea maadui wa kushiba.
Bahati mbaya hata kama upinzani utaingia nchi hii cku Moja watajikuta wakiusujudia mfumo badala ya mfumo kuwasujudia wao.
Una akili ya fisi,, mama mama, amekunufaisha vipi wewe. Huyu Huyu alituambia Magufuli mzima kumbe kisha kufa. Wengine hatuna hay.Tumemuacha kabisa aupuge mwingi na mwenyewe anasema Rais huwa hakosei.
Ukweli mchungu huu!Umenena kweli jambo suluhisho lako halina mashiko. Ni hivi Uchaguzi ni protokali tu mshindi anajulikana na akishajulikana Regime itaendeswa na mfumo na si vinginevyo.
Magufuli akitaka kufanikiwa kuchochora njia yake nje ya kuendeshwa na mfumo na ndipo alipojitengenezea maadui wa kushiba.
Bahati mbaya hata kama upinzani utaingia nchi hii cku Moja watajikuta wakiusujudia mfumo badala ya mfumo kuwasujudia wao.
Nahitaji mchango wako sasa.!Mzee utangojea sana hizi ni zama za kiongozi anayesikiliza wataalamu sio zama zile za stone age ambapo wataalamu waliitwa kushauriwa na sio kushauri, tunaiona +255 inayotembea na dunia kusonga mbele.
Mama anakwenda vizuri sana wahuni wadhibitiwe.Nahitaji mchango wako sasa.!
Kwa hiyo tunaenda na dunia bado.?Mama anakwenda vizuri sana wahuni wadhibitiwe.