Tutarajie Mkeka wa Baraza, Wakurugenzi, Ma DC Lengo Kuzima Mjadala CHADEMA

Tutarajie Mkeka wa Baraza, Wakurugenzi, Ma DC Lengo Kuzima Mjadala CHADEMA

Wanajamvi,
Moja kwa moja kwenye maudhui.

Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.

Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.

Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.

Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.

Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?

Stay tuned.
britanicca anasemaje
 
Wanajamvi,
Moja kwa moja kwenye maudhui.

Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.

Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.

Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.

Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.

Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?

Stay tuned.
Mwejakoo
 
Wanajamvi,
Moja kwa moja kwenye maudhui.

Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.

Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.

Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.

Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.

Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?

Stay tuned.
Steve Nyerere 😡
Mjadala wa Binti aliyebakwa mande Yombo ndio umekufa pia.
 
Wanajamvi,
Moja kwa moja kwenye maudhui.

Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.

Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.

Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.

Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.

Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?

Stay tuned.
Don't hate the players hate the games!
Chukuwachakomapema wanachowazidi upinzani ndio hicho!
😆😅🤣
 
Kuwakama viongozi wa CDM imeonyesha namna viongozi wa ccm walivyo na hofu na woga dhidi ya CDM.
Bado Vyombo vya dola hasa mapolisi wanatumika vibaya sana kukandamiza uhuru wa mawazo na kujieleza.
Ifike mahali wananchi tuiambie ccm 'IMETOSHA'
 
Naungana na yule mwandishi wa mada elimishi alivyosema Wasaidizi wa Mama hawamwambii ukweli!
 
Acheni kujifariji, hivi Kuna jambo ambalo lilitikisa nchi km mjadala wa DPWORLD mpk watu wa chini kabisa walijua, waraka wa maaskofu ulisomwa kwenye vigango vyote, Leo hii nani anakumbuka? Hili nalo litapita, hakuna jipya
Ukweli mchungu huu nao 😮‍💨😮‍💨
 
Back
Top Bottom