Tutashinda goli 5". Mjifunze kuheshimu mpira

Tutashinda goli 5". Mjifunze kuheshimu mpira

Mi nawaambia,mpira uheshimiwe.Sasa mnaingia makundi kukutana na watabe kama akina Al Ahly.Huko ndipo kipimo cha ukubwa kilipo.

Timu ipo vitani,wachezaji wazuri wote wameondoka,lakini imewahenyesha haswaa nyumbani.

Tujifunze kuheshimu mpira
acha udwanzi
 
Mi nawaambia,mpira uheshimiwe.Sasa mnaingia makundi kukutana na watabe kama akina Al Ahly.Huko ndipo kipimo cha ukubwa kilipo.

Timu ipo vitani,wachezaji wazuri wote wameondoka,lakini imewahenyesha haswaa nyumbani.

Tujifunze kuheshimu mpira
Malizana kwanza na power dynamos ndio uongelee ya yanga
 
Nimeiangalia yanga kiufundi Bado sana

Katikati ya Uwanja Kuna shida kidogo.
Pale anapokaa Aucho alitakiwa akae mtu kama Bangala
Pale anapokaa Mudathiri alipaswa akae Aucho.

Pale anapokaa KENEDY Musonda alitakiwa akae Mtu anayefanana na Mayele.
 
Nimeiangalia yanga kiufundi Bado sana

Katikati ya Uwanja Kuna shida kidogo.
Pale anapokaa Aucho alitakiwa akae mtu kama Bangala
Pale anapokaa Mudathiri alipaswa akae Aucho.

Pale anapokaa KENEDY Musonda alitakiwa akae Mtu anayefanana na Mayele.
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.
Unahitaji kupuuzwa
 
Tulishampongeza aliposhinda Rwanda,lakini akawa na kiburi eti amalize kwanza kwa kumpa mtu tano.
5 Ziliiisha kitambo zile mechi 2 basiiii...hawatakuja kufunga tena hizo 5 nipo nimekaa palee...
 
Ila waacheni jamani miaka 25 ujueee sio mchezooo...hata kama ni watani ila hapana waacheni wapumueee
 
JF kuna watoto nafikiri hawajui historia ya Mpira wa Tz kimataifa
 
Gamond atueleze alipokificha kikosi cha yanga na kuamua kuvalisha vinyago na jezi za yanga wachezaji wa Real Madrid.

Maani sio kwa pila lile.
 
Kabla ya Christmas kuna mtu atakula bao tano tena huku NBC.
Kuna timu itaingia kwenye mfumo na itapigwa tano. Inawezekana October hii.
 
Back
Top Bottom