Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nchi Ina utawala wa Sheria hata wakifisadi ukweli utafahamika tu.
Ndio maana hata Leo mfano kupitia ripoti za CAG, Taifa limeendelea kufahamu ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za umma uliofanywa kipindi cha awamu ya Tano.
Kufahamu tunaweza kufahamu bila hata hiyo ripoti ya CAG, hatua zinachukuliwa, hilo ndio la maana.