Tutatoa watanzania wote kenya unless they are professionals.

Tutatoa watanzania wote kenya unless they are professionals.

WaTz mnabishana na Wakenya kwa kipi hasa walichonacho??

Kama Omondi ndio super-star wa Kenya yoote wana jipya hapo?
 
Hakuna hotel kubwa yoyote Tanzania ambayo hakuna mkenya anayefanya hapo kazi. Wengi ni wakenya wakifuatiwa na wahindi, na watu wengine halafu ndo watanzania wanafuata ambao utawakua kwenye idara za udereva, usafi, reception mmoja mmoja lakini huko level ya kati na senior level ni wakenya, wahindi ndo wamekamata
Hotel???? Msomi wa Tanzania hawezi kufanya kazi kwenye hotel
 
Sisi hatuna udugu na wakenya wafukuzeni hao watanzania huko maana ili tuwatimue wakenya wote na kampuni zao na mipaka tufunge
 
Nimeamini waropokaji wengi.
Kumbuke Kikwete aliwafanyia nn kupunguza safari za kQ mpk mkaombba pooo
KQ will operate tena Daily flights na hakuna kitu mnafanya. Weye unayetembea mguu tupu hujawahi hata panda basi ya mkoani unaharahara hapa juu ya KQ
 
Nyie hamnaga kitu ila majigambo tu ya kipuuzi.
Tz we can more than you.Tutaftieni msomi wa Economics kama Lipumba kama mnaye huko kuku nyie.
Mnajitia wasomi mna usomi gani.
Have you seen your Tanzanian HDI and innovation index scores? i guess not otherwise you wouldn't have said that.
 
Kaka umeanza kuongea muda gani?!
But kwetu albino wanalindwa.Mfano Hajj Manara Simba spokes man ni albino na analindwa.
Hiyo kitu ilitokea 2010 kushuka chini sasa hv Tz imeelimika na ina adabu.
Ila kwenu ubaguzi wa kikabira ni miaka nenda miaka rudi.
Mbona unaenda kukunywa supu ya Albino
 
90% of English teachers in Tanzania are Kenyans...And they are preferred because they can interpret from English to Kiswahili...A Tanzanian cannot do that!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee!
 
Did you really understand my point?? Tanzania as a country is a Swahili speaking nation..Few know how to write and speak English...They have been bringing teachers on board to teach children English, especially kids of the elite people..The best suited people to do that are Kenyans, who can write and talk English and still can translate the same in Swahili to their kids...My point is, a teacher from Zimbabwe and Uganda stand less chances due to them not understanding the Swahili language...Kenyans Fit in well!
My children attend English medium schools and none of them have kenyans. I must agree that Kenyan teachers dominated the past ten years (St.Mary schools), those kids who were taught by them have become teachers to replace them. only a few kenyan teachers dominate in Arusha, Kilimanjaro and some schools in Dar es salaam, but you will find very few of them in other regions.
 
My children attend English medium schools and none of them have kenyans. I must agree that Kenyan teachers dominated the past ten years (St.Mary schools), those kids who were taught by them have become teachers to replace them. only a few kenyan teachers dominate in Arusha, Kilimanjaro and some schools in Dar es salaam, but you will find very few of them in other regions.
Doesn't matter...The point is, you have Kenyan teachers teaching in Tz!
 
Ze nyumbus are making alot of keleles here from that side of arap moi.Nini tatizo?
 
Back
Top Bottom