Mhhh hiyo chapati ya Kikenya anakula nani?Wapo Wakenya Kisiwani kigamboni tunao huku wanachoma chapati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh hiyo chapati ya Kikenya anakula nani?Wapo Wakenya Kisiwani kigamboni tunao huku wanachoma chapati
Watu mkuu au unapinga?!Mhhh hiyo chapati ya Kikenya anakula nani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hahahhaa
Hata Arusha maeneo ya Meru wapo wanalima MatangoKuna wakamba kule kilindi HANDENI, wanalima maharage na vitunguu, ni zaidi ya elfu 2000, wamekodisha mashamba, ngoja nimpigie Simu OCD wa Kilindi aende kuulizia kama wote wana work permit
Ninyi mliwahi kuwapa Watanzania eneo la kulima ama kuinvest chochote?kukodisha shamba ni sawa iyo ni kama kuinvest lakini mkenya akuje Dar kuuza mahindi choma ama ku hawk karanga sio sawa
Maaskini WakenyaUnahitaji mkufunzi wa kiingereza naona kimekupiga chenga.
Omba omba na machangundoa muwakujie tu...walijileta wenyewe.
Kenya primary school na secondary ni free. Kawadanganye midanganyika vijiweni.
CCM imewashinda, Koroshow imewashinda, ATCL imewashinda, Bagamoyo imewashinda, SGR pia imewashinda, Sasa usijidanganye Kenya mtaiweza labda mbugie minofu ya albino mteremshe na kinyesi afu mje mpambane na Kenya.
Hio bombadia mlinunulia betri?
Tanzania hikuichapa Uganda bali
ilisaidiwa na Waganda kumuondoa Idi Amin. Hamna Vita mshawahi shinda peke yenu hata Komoro mlisaidiwa na Ufaransa, kwa hivyo huo mziki mtausikiza wenyewe.
Ni chakula safi cha nguruweMhhh hiyo chapati ya Kikenya anakula nani?
Bosi wenu mkubwa anakuja kuomba msamaha huku Sasa wewe unajifariji kiboyaWe have no kenyan selling cloths or running a small shop in TZ,We only have professionals who do work that cant be done by Tanzanians...Kenya will deport all mitumba sellers and retain only professional Tanzanians (If any) we cant have foreigners competing with Hoi Polloi of kenya.Matiangi is now working on that and expect Tanzanians with no work permits and omba ombas to be deported.
Kenyans have several companies in TZ and they employ many locals we need tanzania to come and invest in Kenya and not come for small small business.
This guys yelling about Jaguar's comments yet Magufuli is so Harsh on kenyans and kenyan products.
1.mlichoma kuku
2.mkauza ngombe
3.Denied Sylvia work permit
View attachment 1139856
4.made foolish rules which are harsh on Kenyan Products.
5.
mbona tuwafukuze waende wakafe Njaa tanzania? Twawaonea huruma ndo maana tutawaacha waishi hapa 254si mufukuze wote mbona mnachelewa!!!!
uhuru kaitwa na big brother aje aelekezwe kitu,na hajakataa,wewe unaendelea kukula kinyesi ya jaguar hapo starehe.mbona tuwafukuze waende wakafe Njaa tanzania? Twawaonea huruma ndo maana tutawaacha waishi hapa 254
Huyo “big brother” ni mtoto mdogo sana, niko na Uhakika anataka kuomba Citizenship ya kenya na apewe hata Uchifu ama afanywe mzee wa Mtaa hapa Mombasauhuru kaitwa na big brother aje aelekezwe kitu,na hajakataa,wewe unaendelea kukula kinyesi ya jaguar hapo starehe.
We have no kenyan selling cloths or running a small shop in TZ,We only have professionals who do work that cant be done by Tanzanians...Kenya will deport all mitumba sellers and retain only professional Tanzanians (If any) we cant have foreigners competing with Hoi Polloi of kenya.Matiangi is now working on that and expect Tanzanians with no work permits and omba ombas to be deported.
Kenyans have several companies in TZ and they employ many locals we need tanzania to come and invest in Kenya and not come for small small business.
This guys yelling about Jaguar's comments yet Magufuli is so Harsh on kenyans and kenyan products.
1.mlichoma kuku
2.mkauza ngombe
3.Denied Sylvia work permit
View attachment 1139856
4.made foolish rules which are harsh on Kenyan Products.
5.
akitoka tu hapa na ndege siku hiyo jaguar anaachiwa,ndio mjue hamjui kitu bado.Huyo “big brother” ni mtoto mdogo sana, niko na Uhakika anataka kuomba Citizenship ya kenya na apewe hata Uchifu ama afanywe mzee wa Mtaa hapa Mombasa
Naam, tuko na waganga kutoka Congo wenu warudi nyumbani wakafe njaaMtafukuza na wale "mganga kutoka TZ"?
Mtafanya nini? Ninyi waoga kama Bikira wanapoona Uchi wanguakitoka tu hapa na ndege siku hiyo jaguar anaachiwa,ndio mjue hamjui kitu bado.
is there a Tanzanian company in Kenya apart from karanga za diamond?Which job that a Kenyan does in Tz that a Tz can not do? There is no such thing. Kenyans in Tz have a privilege of working here only because they manage Kenyan owned companies or franchise... Not otherwise...
Hahahhaa
Usisahau wanawake wao kwa Danguro za Mia Moja hapa Malindi🤣🤣🤣is there a Tanzanian company in Kenya apart from karanga za diamond?
sasa mbona mkashangilia mwehu yule akiongea pumba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],saa hii ndio unajua we have nothing to loose at all.is there a Tanzanian company in Kenya apart from karanga za diamond?