Tutatoa watanzania wote kenya unless they are professionals.

Kuna wakamba kule kilindi HANDENI, wanalima maharage na vitunguu, ni zaidi ya elfu 2000, wamekodisha mashamba, ngoja nimpigie Simu OCD wa Kilindi aende kuulizia kama wote wana work permit
Hata Arusha maeneo ya Meru wapo wanalima Matango

Kule Kileo mkoani Kilimanjaro pia wapo wanalima vitunguu.

Ni muda hasa wa kuchunguza hilo.
 
kukodisha shamba ni sawa iyo ni kama kuinvest lakini mkenya akuje Dar kuuza mahindi choma ama ku hawk karanga sio sawa
Ninyi mliwahi kuwapa Watanzania eneo la kulima ama kuinvest chochote?
 
Maaskini Wakenya

 
Bosi wenu mkubwa anakuja kuomba msamaha huku Sasa wewe unajifariji kiboya
 
Hodiiiiiiiiiiiii humu saa hii!nimebanwa kunya bandugu.Mbona malumbano sana humi hadi kichefu chefu?
 
mbona tuwafukuze waende wakafe Njaa tanzania? Twawaonea huruma ndo maana tutawaacha waishi hapa 254
uhuru kaitwa na big brother aje aelekezwe kitu,na hajakataa,wewe unaendelea kukula kinyesi ya jaguar hapo starehe.
 
uhuru kaitwa na big brother aje aelekezwe kitu,na hajakataa,wewe unaendelea kukula kinyesi ya jaguar hapo starehe.
Huyo “big brother” ni mtoto mdogo sana, niko na Uhakika anataka kuomba Citizenship ya kenya na apewe hata Uchifu ama afanywe mzee wa Mtaa hapa Mombasa
 

Mtafukuza na wale "mganga kutoka TZ"?
 
Huyo “big brother” ni mtoto mdogo sana, niko na Uhakika anataka kuomba Citizenship ya kenya na apewe hata Uchifu ama afanywe mzee wa Mtaa hapa Mombasa
akitoka tu hapa na ndege siku hiyo jaguar anaachiwa,ndio mjue hamjui kitu bado.
 
Which job that a Kenyan does in Tz that a Tz can not do? There is no such thing. Kenyans in Tz have a privilege of working here only because they manage Kenyan owned companies or franchise... Not otherwise...
is there a Tanzanian company in Kenya apart from karanga za diamond?
 
is there a Tanzanian company in Kenya apart from karanga za diamond?
sasa mbona mkashangilia mwehu yule akiongea pumba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],saa hii ndio unajua we have nothing to loose at all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…