Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 444
- 488
Tabia za Mwalimu zinamchango mkubwa kwa mwanafunzi kufauru somo. Mwalimu ni kiungo katika kunogesha akili ya mwanafunzi. Mwalimu anaweza kuwa na digriii mia moja, lakini akikosa sifa moja muhimu ya kujuwa kuishi na kukabiliana na mazingira anayofanyia kazi na kusoma maisha na Tabia za mwanafunzi wake, si msaada tena.
Nachelea kusema hata mpira uliotufikisha katika nafasi tulizozipata ni zao la tabia zilizojengwa na waliotangulia.
Mwalimu mkali anaficha madhaifu yake ya kukosa umahili katika kufundisha. Silaha kubwa ya walimu Kama hawa ni kujenga hofu kwa mwanafunzi hali inayompelekea mwanafunzi kukosa confidence na hata kufeli.
Tujiulize Ziko wapi pass milioni zileee!
Wachezaji si walewale!
Leo wachezaji hawaonani, wanapapara, wanakitete hawana nguvu na majeruhi. Kulikoni?
Tutafakari vizuri kwa vile ni kipindi muhimu Cha kujenga au kubomowa timu. Tutaacha wachezaji wazuri kwa kufuata kinachoitwa ripoti ya mwalimu ambae mwenyewe ndio tatizo.
Ni ivyo tuuu.
Nachelea kusema hata mpira uliotufikisha katika nafasi tulizozipata ni zao la tabia zilizojengwa na waliotangulia.
Mwalimu mkali anaficha madhaifu yake ya kukosa umahili katika kufundisha. Silaha kubwa ya walimu Kama hawa ni kujenga hofu kwa mwanafunzi hali inayompelekea mwanafunzi kukosa confidence na hata kufeli.
Tujiulize Ziko wapi pass milioni zileee!
Wachezaji si walewale!
Leo wachezaji hawaonani, wanapapara, wanakitete hawana nguvu na majeruhi. Kulikoni?
Tutafakari vizuri kwa vile ni kipindi muhimu Cha kujenga au kubomowa timu. Tutaacha wachezaji wazuri kwa kufuata kinachoitwa ripoti ya mwalimu ambae mwenyewe ndio tatizo.
Ni ivyo tuuu.