Tutawalaumu bure wachezaji Simba

Tutawalaumu bure wachezaji Simba

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Tabia za Mwalimu zinamchango mkubwa kwa mwanafunzi kufauru somo. Mwalimu ni kiungo katika kunogesha akili ya mwanafunzi. Mwalimu anaweza kuwa na digriii mia moja, lakini akikosa sifa moja muhimu ya kujuwa kuishi na kukabiliana na mazingira anayofanyia kazi na kusoma maisha na Tabia za mwanafunzi wake, si msaada tena.

Nachelea kusema hata mpira uliotufikisha katika nafasi tulizozipata ni zao la tabia zilizojengwa na waliotangulia.

Mwalimu mkali anaficha madhaifu yake ya kukosa umahili katika kufundisha. Silaha kubwa ya walimu Kama hawa ni kujenga hofu kwa mwanafunzi hali inayompelekea mwanafunzi kukosa confidence na hata kufeli.

Tujiulize Ziko wapi pass milioni zileee!

Wachezaji si walewale!

Leo wachezaji hawaonani, wanapapara, wanakitete hawana nguvu na majeruhi. Kulikoni?

Tutafakari vizuri kwa vile ni kipindi muhimu Cha kujenga au kubomowa timu. Tutaacha wachezaji wazuri kwa kufuata kinachoitwa ripoti ya mwalimu ambae mwenyewe ndio tatizo.

Ni ivyo tuuu.
 
Achana na Pablo mimi nina hasira na Matola, Matola yupo Simba kwa zaidi ya miaka minne lakini unaona kabisa mchango wake kama kocha msaidizi kwa timu ni sifuri.

Kocha mpaka ligi inaelekea ukingoni hana first eleven wakati Matola ilitakiwa awe msaada kumwambia kocha wachezaji wazuri wa kwenye timu! Matokeo yake kaua kiwango cha Lwanga, Bwalya, Kagere, Bocco na hata Chama ambaye amekuwa hapewi nafasi kabisa.

Ni muda sasa wakuachana na Matola huyo ndio mchawi wetu.
 
Achana na Pablo mimi nina hasira na Matola, Matola yupo Simba kwa zaidi ya miaka minne lakini unaona kabisa mchango wake kama kocha msaidizi kwa timu ni sifur...
Wengine wajuwaji Sana, hawapendi kushauriwa. Tutamlaum bure Matola.

Kwa saikolojia yangu ndogo, body language ya Matola inanionyesha hakubaliani na kocha Mkuuu.
 
Teh teh


FB_IMG_16531369064047173.jpg
 
Achana na Pablo mimi nina hasira na Matola, Matola yupo Simba kwa zaidi ya miaka minne lakini unaona kabisa mchango wake kama kocha msaidizi kwa timu ni sifuri...
Matola atatoa ushauri gani kwa kocha anayepiga mateke hadi viti? Simba wakimbakiza huyu kocha nitajua hawana malengo makubwa ya timu kufanya vizuri.

Kocha ni takataka kabisa huyu. Kaua viwango vya wachezaji mshenzi mkubwa huyo.
 
Kabla hajafika Simba ilikuwa katika hali gani?
Uliionaje Simba iliyopigwa na Jwaneng Taifa?
Alikuwepo Pablo?
Ulionaje Simba mechi 2 za mwanzo?
Alikuwepo Pablo?
Kwanini mnataka kukimbia tatizo la Msingi na kulikimbiza kwa kocha?
Mwanzo wa ligi kunachangamoto zake. Tulioaswa kuendelea na kocha aliyesajili Kama kweli usajili ulizingatia ushauri wake. Kwa P , no. Ana vitabia ambavyo havijengi na kuwapa nguvu wachezaji.
 
Mwanzo wa ligi kunachangamoto zake. Tulioaswa kuendelea na kocha aliyesajili Kama kweli usajili ulizingatia ushauri wake. Kwa P , no. Ana vitabia ambavyo havijengi na kuwapa nguvu wachezaji.
Inaonekana unachuki zako binafsi.....
Asa kama team aliikuta hovyo kwanini umlaumu
 
Inaonekana unachuki zako binafsi.....
Asa kama team aliikuta hovyo kwanini umlaumu
Hakuna timu mwanafunzi mbovu, kazi ya mwalimu ni kufundisha mwanafunzi aelewe na kufauru mitihani. Tunaanza shule wakati hatujuwi elufi yiyote, ni Mwalimu ndio anawezesha
 
Shida yenu Makolowizard roho zenu Kama karatasi. Maisha hayako vilenavyotaka ninyi, maisha kuna kupanda na kushuka pia. Refers maisha wanayopitia Man u, Barcelona. Refer maisha aliyopitia Ac Milan Hadi Jana kachukua ndoo baada ya miaka mingi ya kustrugle.

Hivi kwa mawazo na fikra zenu mnadhani Simba imeishafikiaaganikio makubwa Kama vilabu nilvyotaja hapo juu. Ndiyo maana miaka flani almanusura mshuke daraja maana mna roho nyepesi Sana nyie watu.
 
Msimu jana simba ilikuwa inapiga mpira hadi unamwagika. Ghafla tu toka kwenye match zote za kirafiki za pre-season wakawa wanacheza mpira wa kubutua. Hadi siku ya match dhidi ya TP mazembe wakawa wanaruka ruka tu.

Kusema kweli hadi muda huu, nipo dilemma, sijui shida ni
i) usajili
ii) wachezaji (kwa ujumla)
iii) Kocha au
iv) Uongozi?

KWA MAANA SIMBA IMEKUWA YA KIPUMBAVU
 
Back
Top Bottom