Tutegemee Baada ya miaka michache kutatokea upungufu mkubwa wa nyama nchini

Tutegemee Baada ya miaka michache kutatokea upungufu mkubwa wa nyama nchini

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Mimi huwa siasa na wanasiasa naona ndio chanzo cha umaskini katika jamii na sio suluhiyo la matatizo katika jamiii..hususana siasa za Afrika na wanasiasa wa Afrika.

Kwa utafiti wangu wa harakaharaka naona viongozi wengi wanaotoka na siasa hawapo smart sana kichwani ila sometime hupata zile nafasi kwa sababu ya bahati au system ilivyo na kadhalika.

Siasa binafsi,nachukulia kama kipaji cha kutengeneza uwango mwingi,kwa sababu hububikwa na ahadi za uwongo na ujanja ujanja mweusi mweusi.

Ndio maana watu wenye IQ (akili) kubwa hawapendi siasa hata kidogo.ndio maana Albert Einstein alipewa urais katika nchi ya ujerumani akakataa.

Moja kwa moja ningie kwenye mada usika....binafsi naona hili swala la loliondo na Ngorongoro tukiamua kwa kutumia hoja za kisiasa na sio za kitaalam litakuja kuzalisha tatizo kubwa baadaye ambalo linaweza kuja kugharimu vizazi vyetu kwa namna nyingine.

Kitendo cha kumuhamisha mmasai mwenye ngo'mbe elfu 10 au 5 na kupeleka kilindi...maana yake huyu mmasai baada ya miaka mitano au 10 hataweza kuwa idadi hiyo ya mifugo..maana lazima hiyo mifugo ipungue labda kutoka na malisho hafifu au magonjwa mapya yatakayopatikana maeneo hayo n.k
.Ikiendelea hivyo baada ya miaka kadha hao wamasai wanaweza kugeuka na kuwa wakulima na hilo linawezekana.

Hapo tutanza kununua kilo ya nyama elfu 20 au 50...nyama inaweza kuwa ni bidhaa adimu kwa familia masikini..

Kwa hili swala la kuwahamisha wamasai tuliangalia kwa jicho la mbali sana la kitaalam....majibu majibu ya kisiasa ni hatari sana katika swala hili.
NB..hichi kizazi kilichosoma miaka ya uhuru wanatuharibia nchi..boro watoweke tuje kuijenga nchi tena.
 
Hebu fikiria kifungua kinywa bila ya Supu ya Kongoro ya kukatia Hang over.

Hawa Wamasai watakufa masikini kama wale wenzao Hotentos wa Botswana waliohamishwa ili kupisha Mgodi wa Almasi.
 
Free Sabaya#
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
 
Ndio imeisha iyo wataelekeza nguvu kwenye biashara,elimu n.k mwisho wa cku tunaanza kuagiza kutoka nje...
 
Ikiendelea hivyo baada ya miaka kadha hao wamasai wanaweza kugeuka na kuwa wakulima na hilo linawezekana.
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kuwawezesha wafugaji, kimaarifa na elimu ili waondokane na ufugaji wa kienyeji, wafuge kiufanisi na kibiashara zaidi, hilo tatizo la upungufu wa nyama halitakuwepo. Ufugaji utakuwa sawa na uzalishaji wa mazao mengine.
 
Mkuu hongera kwa uchambuzi makini naomba kukuuliza maswali machache kidogo nje na siasa unapendekeza mfumo gani mwingine wa kiutawala ?
Natamani mtu yeyotè atayeta nafasi ya uwaongozi apimwe IQ yake..wale wenye IQ kubwa kuliko wengine washawishiwe wawaongoze wengine..na hicho kipimo kipo
Free Sabaya#
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Yes free Sabaya!!
 
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kuwawezesha wafugaji, kimaarifa na elimu ili waondokane na ufugaji wa kienyeji, wafuge kiufanisi na kibiashara zaidi, hilo tatizo la upungufu wa nyama halitakuwepo. Ufugaji utakuwa sawa na uzalishaji wa mazao mengine.
Sikia wewe acha hoja za kukremu kwenye madaftari...hii ni hoja nyepesi mno..
 
Nami nimekua nikipata mashaka na hao viongozi wetu hivi ngombe so mnyama kama nyumbu na kifaru na wengine? Na si anakula majani tu kama wengine? Kwa nini kuwa na ngombe milioni moja mbugani iwe ni kuaribu mazingira wakati nyumbu wapo mamilioni na hawaonekani kuaribu mazingira? Hawa viongozi hizi elimu zao wanatoa wapi? Au ni wivu unawasumbua? Au ni kukosa elimu? Ukisikiliza bunge wale wabunge ndio kichefuchefu zaidi hawajui chochote yaani ni hasara Kwa taifa Mungu tu atusaidie
 
Kinachotakiwa kufanyika kwa sasa ni kuwawezesha wafugaji, kimaarifa na elimu ili waondokane na ufugaji wa kienyeji, wafuge kiufanisi na kibiashara zaidi, hilo tatizo la upungufu wa nyama halitakuwepo. Ufugaji utakuwa sawa na uzalishaji wa mazao mengine.
Yaani ndugu yangu, kule Botswana wamejitahidi kufanya ufugaji wenye tija, kiasi kwamba mifugo yaani ngo'mbe ni kati ya maeneo yenye tija baada ya almasi.....bt kwa mifumo na siasa za Tz, sidhani kama wanaweza kufanya kama Botswana........
 
Hapo vip!!
Mimi huwa siasa na wanasiasa naona ndio chanzo cha umaskini katika jamii na sio suluhiyo la matatizo katika jamiii..hususana siasa za Afrika na wanasiasa wa Afrika.

Kwa utafiti wangu wa harakaharaka naona viongozi wengi wanaotoka na siasa hawapo smart sana kichwani ila sometime hupata zile nafasi kwa sababu ya bahati au system ilivyo na kadhalika.

Siasa binafsi,nachukulia kama kipaji cha kutengeneza uwango mwingi,kwa sababu hububikwa na ahadi za uwongo na ujanja ujanja mweusi mweusi.

Ndio maana watu wenye IQ (akili) kubwa hawapendi siasa hata kidogo.ndio maana Albert Einstein alipewa urais katika nchi ya ujerumani akakataa.

Moja kwa moja ningie kwenye mada usika....binafsi naona hili swala la loliondo na Ngorongoro tukiamua kwa kutumia hoja za kisiasa na sio za kitaalam litakuja kuzalisha tatizo kubwa baadaye ambalo linaweza kuja kugharimu vizazi vyetu kwa namna nyingine.

Kitendo cha kumuhamisha mmasai mwenye ngo'mbe elfu 10 au 5 na kupeleka kilindi...maana yake huyu mmasai baada ya miaka mitano au 10 hataweza kuwa idadi hiyo ya mifugo..maana lazima hiyo mifugo ipungue labda kutoka na malisho hafifu au magonjwa mapya yatakayopatikana maeneo hayo n.k
.Ikiendelea hivyo baada ya miaka kadha hao wamasai wanaweza kugeuka na kuwa wakulima na hilo linawezekana.

Hapo tutanza kununua kilo ya nyama elfu 20 au 50...nyama inaweza kuwa ni bidhaa adimu kwa familia masikini..

Kwa hili swala la kuwahamisha wamasai tuliangalia kwa jicho la mbali sana la kitaalam....majibu majibu ya kisiasa ni hatari sana katika swala hili.
HOJA HAFIFU SANA
 
Nyumbu safari hii ni Bora kuliko NG'OMBE za CCM hii ni faida ya maridhiano
 
Mleta mada hivi unajua watu wasukuma wewe..hao jamaa wana ngombe kila pande ya nchi hii..nadhani ndio wanaongoza kumiliki ngombe wengi..mabonde na mapori yaote wamejazana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hapo vip!!
Mimi huwa siasa na wanasiasa naona ndio chanzo cha umaskini katika jamii na sio suluhiyo la matatizo katika jamiii..hususana siasa za Afrika na wanasiasa wa Afrika.

Kwa utafiti wangu wa harakaharaka naona viongozi wengi wanaotoka na siasa hawapo smart sana kichwani ila sometime hupata zile nafasi kwa sababu ya bahati au system ilivyo na kadhalika.

Siasa binafsi,nachukulia kama kipaji cha kutengeneza uwango mwingi,kwa sababu hububikwa na ahadi za uwongo na ujanja ujanja mweusi mweusi.

Ndio maana watu wenye IQ (akili) kubwa hawapendi siasa hata kidogo.ndio maana Albert Einstein alipewa urais katika nchi ya ujerumani akakataa.

Moja kwa moja ningie kwenye mada usika....binafsi naona hili swala la loliondo na Ngorongoro tukiamua kwa kutumia hoja za kisiasa na sio za kitaalam litakuja kuzalisha tatizo kubwa baadaye ambalo linaweza kuja kugharimu vizazi vyetu kwa namna nyingine.

Kitendo cha kumuhamisha mmasai mwenye ngo'mbe elfu 10 au 5 na kupeleka kilindi...maana yake huyu mmasai baada ya miaka mitano au 10 hataweza kuwa idadi hiyo ya mifugo..maana lazima hiyo mifugo ipungue labda kutoka na malisho hafifu au magonjwa mapya yatakayopatikana maeneo hayo n.k
.Ikiendelea hivyo baada ya miaka kadha hao wamasai wanaweza kugeuka na kuwa wakulima na hilo linawezekana.

Hapo tutanza kununua kilo ya nyama elfu 20 au 50...nyama inaweza kuwa ni bidhaa adimu kwa familia masikini..

Kwa hili swala la kuwahamisha wamasai tuliangalia kwa jicho la mbali sana la kitaalam....majibu majibu ya kisiasa ni hatari sana katika swala hili.
NB..hichi kizazi kilichosoma miaka ya uhuru wanatuharibia nchi..boro watoweke tuje kuijenga nchi tena.
Unajua kuwa huko Kilindi unapopasema kuna wamasai wanaishi huko miaka nenda rudi na wanang'ombe zao? Huu upotoshaji wa kusema kuwa ng'ombe wakiondolewa loliondo au ngorongoro watakufa sijui watu wanapata faida gani nao. Jamii za wafugaji kama wasukuma, wamang'ati etc wapo ngorongoro pia? By population ni percent ngapi ya wamasai wafugaji wapo ngorongoro ukilinganisha na population yao yote iliyotapakaa nchi nzima? Hebu acheni uhuni aisee tafuteni hoja za msingi kutushawishi.
 
Hapo vip!!
Mimi huwa siasa na wanasiasa naona ndio chanzo cha umaskini katika jamii na sio suluhiyo la matatizo katika jamiii..hususana siasa za Afrika na wanasiasa wa Afrika.

Kwa utafiti wangu wa harakaharaka naona viongozi wengi wanaotoka na siasa hawapo smart sana kichwani ila sometime hupata zile nafasi kwa sababu ya bahati au system ilivyo na kadhalika.

Siasa binafsi,nachukulia kama kipaji cha kutengeneza uwango mwingi,kwa sababu hububikwa na ahadi za uwongo na ujanja ujanja mweusi mweusi.

Ndio maana watu wenye IQ (akili) kubwa hawapendi siasa hata kidogo.ndio maana Albert Einstein alipewa urais katika nchi ya ujerumani akakataa.

Moja kwa moja ningie kwenye mada usika....binafsi naona hili swala la loliondo na Ngorongoro tukiamua kwa kutumia hoja za kisiasa na sio za kitaalam litakuja kuzalisha tatizo kubwa baadaye ambalo linaweza kuja kugharimu vizazi vyetu kwa namna nyingine.

Kitendo cha kumuhamisha mmasai mwenye ngo'mbe elfu 10 au 5 na kupeleka kilindi...maana yake huyu mmasai baada ya miaka mitano au 10 hataweza kuwa idadi hiyo ya mifugo..maana lazima hiyo mifugo ipungue labda kutoka na malisho hafifu au magonjwa mapya yatakayopatikana maeneo hayo n.k
.Ikiendelea hivyo baada ya miaka kadha hao wamasai wanaweza kugeuka na kuwa wakulima na hilo linawezekana.

Hapo tutanza kununua kilo ya nyama elfu 20 au 50...nyama inaweza kuwa ni bidhaa adimu kwa familia masikini..

Kwa hili swala la kuwahamisha wamasai tuliangalia kwa jicho la mbali sana la kitaalam....majibu majibu ya kisiasa ni hatari sana katika swala hili.
NB..hichi kizazi kilichosoma miaka ya uhuru wanatuharibia nchi..boro watoweke tuje kuijenga nchi tena.
 
Back
Top Bottom