Pre GE2025 Tutegemee muda si mrefu mzee wa victoria akahama chama kisa vipande vya thumni

Pre GE2025 Tutegemee muda si mrefu mzee wa victoria akahama chama kisa vipande vya thumni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naungana na wewe. CCM walimdhalilisha sana kwenye uchaguzi fulani pale JIJI. Kama akiunga juhudi atakuwa mwendawazimu
Acha tukio hilo, kubwa zaidi ni lile la kuuawa kwa mdogo wake kule Rorya na yeye mwenyewe (Wenje) kunusurika kwa kufichwa na Wasamaria wema kwenye kibanda ambacho hakuna mtu angeweza kutarajia kwamba Mhe.Wenje yumo humo.

Ila kwa akili za Wanasiasa si ajabu kweli akahamia kwa Watesi wake. Mimi huwa nawachukulia Wanasiasa kuwa ni watu ambao akili zao haziwatoshi sawa sawa.
 
Save this post!!!!!!

Mzee wa victoria ambaye ni kiongozi wa ile eneo muda si mrefu atahama chama na kwenda kwa wale wenzzetu wa kijani baada ya kununuliwa kwa vipande vya thumni.

Save the post!!!! Kinachosubiliwa ni muda tu ufike mheshimiwa tu save the date!!!
palipofikia CHADEMA hata ahame nani, hakuna tena wa kukirudisha nyuma, aende salama tunamuombea mema. kuna mtu analalamika huko eti Mbowe hapokei simu zake
 
Acha tukio hilo, kubwa zaidi ni lile la kuuawa kwa mdogo wake kule Rorya na yeye mwenyewe (Wenje) kunusurika kwa kufichwa na Wasamaria wema kwenye kibanda ambacho hakuna mtu angeweza kutarajia kwamba Mhe.Wenje yumo humo.

Ila kwa akili za Wanasiasa si ajabu kweli akahamia kwa Watesi wake. Mimi huwa nawachukulia Wanasiasa kuwa ni watu ambao akili zao haziwatoshi sawa sawa.
Na kuuwawa Kwa mdogo wake Unaweza kuta naye ameshiriki lakini ikatengenezwa ili naye aonekane alikuwa anasakwa kuuwawa###SelfMaoni###
 
Back
Top Bottom