Pre GE2025 Tutegemee muda si mrefu mzee wa victoria akahama chama kisa vipande vya thumni

Pre GE2025 Tutegemee muda si mrefu mzee wa victoria akahama chama kisa vipande vya thumni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naungana na wewe. CCM walimdhalilisha sana kwenye uchaguzi fulani pale JIJI. Kama akiunga juhudi atakuwa mwendawazimu

..Upendo Peneza alidhalilishwa kijinsia na wana Ccm lakini bado ameungana nao.

..huenda pesa wanayopewa ni kubwa mno, ni mwendawazimu pekee anaweza kuikataa.
 
Kama P.Msigwa kahama na hakuna athari wacha wale pesa ya CCM,Pambalu atachukua nafasi yake. He is not material as such. Alitokea CCM so far
Athari ipo ila wewe mpiga kelele nyuma ya keyboard huwezi kuijua. Hawezi kuondoka kiongozi mkubwa hivyo akaenda kwa upande wa adui alafu useme hakuna athari. Mbowe angekuwa karibu na wewe angekudunga kwenzi
 
Back
Top Bottom