Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Naungana na wewe. CCM walimdhalilisha sana kwenye uchaguzi fulani pale JIJI. Kama akiunga juhudi atakuwa mwendawazimuSidhani kama Wenje anaweza kufanya hivyo.
WenjeLegeza code mazee
Acha tukio hilo, kubwa zaidi ni lile la kuuawa kwa mdogo wake kule Rorya na yeye mwenyewe (Wenje) kunusurika kwa kufichwa na Wasamaria wema kwenye kibanda ambacho hakuna mtu angeweza kutarajia kwamba Mhe.Wenje yumo humo.Naungana na wewe. CCM walimdhalilisha sana kwenye uchaguzi fulani pale JIJI. Kama akiunga juhudi atakuwa mwendawazimu
palipofikia CHADEMA hata ahame nani, hakuna tena wa kukirudisha nyuma, aende salama tunamuombea mema. kuna mtu analalamika huko eti Mbowe hapokei simu zakeSave this post!!!!!!
Mzee wa victoria ambaye ni kiongozi wa ile eneo muda si mrefu atahama chama na kwenda kwa wale wenzzetu wa kijani baada ya kununuliwa kwa vipande vya thumni.
Save the post!!!! Kinachosubiliwa ni muda tu ufike mheshimiwa tu save the date!!!
Na kuuwawa Kwa mdogo wake Unaweza kuta naye ameshiriki lakini ikatengenezwa ili naye aonekane alikuwa anasakwa kuuwawa###SelfMaoni###Acha tukio hilo, kubwa zaidi ni lile la kuuawa kwa mdogo wake kule Rorya na yeye mwenyewe (Wenje) kunusurika kwa kufichwa na Wasamaria wema kwenye kibanda ambacho hakuna mtu angeweza kutarajia kwamba Mhe.Wenje yumo humo.
Ila kwa akili za Wanasiasa si ajabu kweli akahamia kwa Watesi wake. Mimi huwa nawachukulia Wanasiasa kuwa ni watu ambao akili zao haziwatoshi sawa sawa.
Inawezekana mkuu , hivi kwa viapo vya Msigwa ulifikili ingekua hivi?Sidhani kama Wenje anaweza kufanya hivyo.
Wanasiasa hawaeleweki,wote tu,sio CCM sio upinzaniNaungana na wewe. CCM walimdhalilisha sana kwenye uchaguzi fulani pale JIJI. Kama akiunga juhudi atakuwa mwendawazimu
Atapewa huko kwenu baada ya kuunga juhudi.Wenje ni jabali, angeomba umwenyekiti kabisa!