Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa tanzania tunayoifahamu sisi watanzania hilo sio jambo la kushangaza wala kustaajabisha mkuu, hapo ni kada anaongea na kada mwenzake.Kama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Kuna malipo tu siku ya hesabuTunaenda kuwa a mafia state,huku makonda,huku sabaya,wote wauaji makatili.
(1) Pindi mbingu zitakapopasuka na ukaharibika mpango wake.
(2) Na pindi nyota zitakapoangukiana.
(3) Na pindi Mwenyezi Mungu Atakapozifanya bahari kulipuka na maji yake kutoweka.
(4) Na pindi makaburi yatakapogeuzwa kwa kufufuliwa waliokuwamo ndani yake.
(5) Wakati huo itajua kila nafsi vitendo vyake vyote ilivyovifanya, vilivyotangulia na vilivyoahirika na italipwa kwa
kuwa a mafia state,huku makonda,
Umekosa nini, kutoka nyumbani kwako, ofisini, ama kwenye biashara yako🤔🤔Waziri mkuu anaongea na jambazi comfortably kabisa. Tumepigwa
Jambazi sugu akiendelea kujenga urafiki na waziri mkuu ww unapata faida gani?Umekosa nini,kutoka nyumbani kwako,ofisini,ama kwenye biashara yako🤔🤔
Vyombo vya sheria havijamkuta na hatia nyie ni nani hadi muwe juu ya sheria? Hana makosa na mahakama imeprove. Acheni ushamba.Waziri mkuu anaongea na jambazi comfortably kabisa. Tumepigwa