FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mmepigwa lakini mpo salama? Au mmekuwa wa rangi rangi?Waziri mkuu anaongea na jambazi comfortably kabisa. Tumepigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmepigwa lakini mpo salama? Au mmekuwa wa rangi rangi?Waziri mkuu anaongea na jambazi comfortably kabisa. Tumepigwa
Ccm ni wahuniKama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Hivi mahakama huzijuwi, kama una ushahidi wa uuwaji wao, si uende mahakamani?Tunaenda kuwa a mafia state,huku makonda,huku sabaya,wote wauaji makatili.
Tumekufanya nini hata utuite "wahuni"?Ccm ni wahuni
Mahakama za CCM cyo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Vyombo vya sheria havijamkuta na hatia nyie ni nani hadi miwe juu ya sheria? Hana makosa na mahakama imeprove. Acheni ushamba.
Ccm Na Aibu ZakeDaaaaa Kwa hyo aibu imebaki Kwa wale walisimama mahakaman kumshatki sabaya Kwa kuporwa Mali zao na kupigwa na kunyaswaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Maishà ya Wana CCM n maigizo matupuu..
Kama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Wote ni maccm. Yote hayana huruma na wewe au mimiKama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Mbowe ni Gaidi na hajawahi kukana mahakamani na akashinda kesi. Alitolewa kwa msamaha wa Rais. Mbona hamumuongelei yeye na kakutana hadi na RAIS? Lissu pia alikuwa na kesi kibao kafutiwa kimya kimya na kakutana hadi na Rais. Why not them? Sabaya kaachiwa na Mahakama yenyewe kwa kuprove hana hatia. Heshimuni mahakama na pia kama Sabaya mnadhani ni mkosaji kamateni Lisu, Lema na Mbowe rudisheni ndani maana hawajawahi kusimama mahakamani na kushinda mikesi yao.Mahakama za CCM cyo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Inashangaza sana mkuu. Inakatisha tamaa pia wengine wanaona uzalendo hauna maana tenaWaziri mkuu anaongea na jambazi comfortably kabisa. Tumepigwa
Tutegemee ushirikianoKama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218
Nani amesema kutengwa? Watu wanaulizia usafi wake kwenye uongozi. Kusema mtu hafai kwenye uongozi siyo kumtenga. Huyu jamaa ni jambazi na kuna siku atalipia madhambi yake. BTW picha ni kama ya zamani wakati akiwa kwenye kilele cha ujambazi.Sabaya ni binadamu kama walivyo wengine
Yaan bado mnataka aendelee kutengwa licha ya kutumikia adhabu zake?
Kamwe mwenye haki hawezia achwaa Sabaya ni bonge la kiongozi binafsi namkubali sanaKama hii picha ni ya siku za karibuni yaani baada ya Sabaya kutoka maabusu, basi watanzania tuna kila sababu ya kujawa na hofu kubwa kuhusu uongozi wa nchi yetu na mustakabali wa nchi yetu!View attachment 2837218